Skip to main content

Rais Donald Trump amefukuza kazi Waziri wa mambo ya nje


Rex Tillerson in Chantilly, Virginia, October 5 2017Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMr Tillerson lasted in the job for just over a year
Rais wa Marekani Donald Trump amefukuza kazi Waziri wa mambo ya nje, Rex Tillerson na kumteua mkuu wa wa Shirika la Kijasusi, CIA, Mike Pompeo
Akimshukuru Bw Tillerson kwa huduma yake kupita akaunti yake ya Twitter, Bw Trump amesema Waziri mpya wa Mambo ya nje atafanya "kazi nzuri".
Bw Tillerson, aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya mafuta ExxonMobil, aliteuliwa kwenye kazi hio mwaka jana.
Rais Trump pia alimpendekeza Gina Haspel kuwa mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa CIA.
Afisa wa juu katika Ikulu ya Marekani, amezungumza na BBC kuhusu muda wa tangazo hilo kutolewa: "Rais alitaka kuhakikisha kuwa timu yake mpya kabla ya mkutano na Korea Kaskazini na baadhi ya mikutano mengine ya kibiashara"
Bw Tillerson alikuwa kwenye ziara rasmi ya Afrika wiki iliopita wakati ambapo alipata taarifa za ghafla za Trump kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.
KenyattaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionTillerson alipokutana na rais Uhuru Kenyatta
Katika juma moja ya ziara yake alitarajiwa kuzitembelea Chad, Djibouti, Ethiopia, Nigeria na Kenya ikiwa ni ziara yake ya kwanza barani Afrika.
Siku ya Jumamosi ,msemaji wake alisema amesitisha shughuli alizokuwa anapaswa kufanya nchini Kenya kutokana na hali yake ya kiafya kutokuwa nzuri.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.