Skip to main content

WARAMI:Wasisi tiza kuheshimu uhuru wa mahakama




Wanasiasa,wanaharakati,wanahabari,viongozi wa dini pamoja na mashirika mbalimbali yasiyokuwa ya kiserikali wametakiwa kuanzisha utaratibu wa kuheshimu uhuru wa mahakama ikiwemo kutokutoa kauli za mashinikizo.

Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa utafiti wa watetezi wa rasilimali wasio na mipaka WARAMI,Mr Philipo Mwakibinga wakati akizungumza leo jijini Dar es salaam kufuatia kauli la za baadhi ya wanasiasa kutaka kuishinikiza mahakama kutoa maamuzi juu ya kesi zinazowakabili wanachama wenzao.

Mkurugenzi Mwakibinga amesema ni lazima watu watambue misingi ya mahakama kuwa ni kwa ajili ya kutenda haki hivyo ni vyema wakaepuka kuingilia uhuru wa muhimili huo.
Ameeleza kuwa vyama vya siasa vinapaswa kufata demokrasia kwenye vyama vyao ili kuweza kufika maamuzi ambayo wanayahitaji kuyafanya kwenye vyama vyao.
"WARAMI tunapenda kuwakumbusha watanzania kuwa sheria ni KAA LA MOTO,na unapovunja sheria ujue kuwa umeamua kushika KAA LA MOTO kwa hiyo lazima ujiandae kuungua,hivyo tunamkumbusha LEMA kuepukana na maneno ya kusema kukamatwa kwa viongozi wa chama chake ni mkakati uliopangwa na serikali kwa ajili ya kuwakomoa"amesema Mwakibinga

"Kila mtanzania anafahamu kuwa Mbowe na CHADEMA wameitumia mikutano ya kampeni hasa katika chaguzi ndogo za Siha,na Kinondoni kuwatukana viongozi wa serikali na kumdhalilisha Rais Magufuli,sasa kwa nini wahangaike kutaka kujihami kuonyesha kuwa wanaonewa?ameuliza Mwakibinga


Hata hivyo amewashauri wahariri wa vyombo vya habari wanaotaka matamko kupitia jukwaa la wahariri TEF kuachana na michezo ya kutumika na wanasiasa kama ambavyo wamewashauri viongozi wa dini hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...