Skip to main content

WARAMI:Wasisi tiza kuheshimu uhuru wa mahakama




Wanasiasa,wanaharakati,wanahabari,viongozi wa dini pamoja na mashirika mbalimbali yasiyokuwa ya kiserikali wametakiwa kuanzisha utaratibu wa kuheshimu uhuru wa mahakama ikiwemo kutokutoa kauli za mashinikizo.

Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa utafiti wa watetezi wa rasilimali wasio na mipaka WARAMI,Mr Philipo Mwakibinga wakati akizungumza leo jijini Dar es salaam kufuatia kauli la za baadhi ya wanasiasa kutaka kuishinikiza mahakama kutoa maamuzi juu ya kesi zinazowakabili wanachama wenzao.

Mkurugenzi Mwakibinga amesema ni lazima watu watambue misingi ya mahakama kuwa ni kwa ajili ya kutenda haki hivyo ni vyema wakaepuka kuingilia uhuru wa muhimili huo.
Ameeleza kuwa vyama vya siasa vinapaswa kufata demokrasia kwenye vyama vyao ili kuweza kufika maamuzi ambayo wanayahitaji kuyafanya kwenye vyama vyao.
"WARAMI tunapenda kuwakumbusha watanzania kuwa sheria ni KAA LA MOTO,na unapovunja sheria ujue kuwa umeamua kushika KAA LA MOTO kwa hiyo lazima ujiandae kuungua,hivyo tunamkumbusha LEMA kuepukana na maneno ya kusema kukamatwa kwa viongozi wa chama chake ni mkakati uliopangwa na serikali kwa ajili ya kuwakomoa"amesema Mwakibinga

"Kila mtanzania anafahamu kuwa Mbowe na CHADEMA wameitumia mikutano ya kampeni hasa katika chaguzi ndogo za Siha,na Kinondoni kuwatukana viongozi wa serikali na kumdhalilisha Rais Magufuli,sasa kwa nini wahangaike kutaka kujihami kuonyesha kuwa wanaonewa?ameuliza Mwakibinga


Hata hivyo amewashauri wahariri wa vyombo vya habari wanaotaka matamko kupitia jukwaa la wahariri TEF kuachana na michezo ya kutumika na wanasiasa kama ambavyo wamewashauri viongozi wa dini hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.