Skip to main content

Vijana wa kike kukuzwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi

 
 MTANDAO wa Jinsia  nchini (TGNP Mtandao) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mafunzo ya jinsia(GTI) wameandaa programu maalum ya kuwalea na kuwakuza na vijana wa kike ili kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi.

Daktari wa kwanza mwanamke nchi Tanzania Ester Mwaikambo akizindua progaram hiyo mapema leo makao makuu ya Mtandao wa Jinsia(TGNP) yaliyopo mabibo jijini Dar es salaam.
Programu hiyo iliyopewa jina la “Mentorship Program” itawasaidia watoto wa kike kuweza kusimama wenyewe katika nafasi za uongozi na maamuzi kwa kupewa elimu na watu waliowatangulia katika nafasi hizo  au kwa jina lingine makungwi watakao walea na kuwaonyesha njia na mbinu za kuwa kama wao.

Akiongea na waandishi wa habari katika uzinduzi wa programu hiyo leo jijini Dar es salaam Mratibu wa Mafunzo ya Jinsia Jane Tesha alisema kuwa lengo kuu la  programu hiyo ni kuwalea vijana wakike walio katika uongozi au wanaotarajiwa kuingia katika uongozi ili waweze kuwa imara katika nafasi zao.

Aliongeza kwa kusema kuwa jumla ya washiriki 33 watapata nafasi ya kukuzwa na kufunzwa jinsi ya kuzitumia rasilimali walizonazo kupitia makungwi walioteuliwa kuwafunza katika nyanja tofauti tofauti.

Mratibu wa mafunzo ya jinsia(GTI) Bi. Jane Tesha akiongea na waandishi wa habari ambao hawapo pichani mapema leo jijini Dar es salaam, kuhusu uzinduzi wa program maalum kwa ajiri ya kuwasaidia mabinti walioko au wanaotarajia kuingia katika nafasi za uongozi na maamuzi.
Aidha Dada Jeni aliendelea kusema kuwa mafunzo hayo yatakuwa ya miezi 6 na washiriki watapewa mafunzo katika Nyanja kama afya, uandisi, wanasheria, biashara na nyingine nyingi ili kuendelea kuongeza pato la taifa kupitia vijana ambao ni asilimia 61 ya watanzania wote.

“Elimu hii tutakayoitoa kwa wanawake hasa vijana ambao ni asilimia 61 ya watanzania wote, itawasaidia kujitambua na kutambua fursa mbalimbali walizonazo na kuwa na ujasiri wa kugombea pamoja na kushiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi na maamuzi ili kuweza kufikia malengo ambayo 50 kwa 50 katika uongozi kati ya wanawake na wanaume”. Alisema Dada Jeni

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao Lilian Liundi alisema huu ni mwanzo tu tumeanza na vijana wa mjini kwa kuwapa fursa hii lakini tunaandaa mpango mwingine ambao utakuja hivi karibuni ambao utawagusa na wale wa vijijini.

“Kwa wasichana ambao wapo vijijini na hawana chanzo chochote cha mtandao hawa ndio malengo yetu makuu, hivyo basi tutahakikisha wanapata elimu hii kwa kuwapelekea makungwi waweze kuwapika kupitia vituo vyetu vya taarifa na maarifa ili wasiweze kupitwa na programu hii”. Alisema Mkurugenzi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.