Skip to main content

Vijana wa kike kukuzwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi

 
 MTANDAO wa Jinsia  nchini (TGNP Mtandao) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mafunzo ya jinsia(GTI) wameandaa programu maalum ya kuwalea na kuwakuza na vijana wa kike ili kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi.

Daktari wa kwanza mwanamke nchi Tanzania Ester Mwaikambo akizindua progaram hiyo mapema leo makao makuu ya Mtandao wa Jinsia(TGNP) yaliyopo mabibo jijini Dar es salaam.
Programu hiyo iliyopewa jina la “Mentorship Program” itawasaidia watoto wa kike kuweza kusimama wenyewe katika nafasi za uongozi na maamuzi kwa kupewa elimu na watu waliowatangulia katika nafasi hizo  au kwa jina lingine makungwi watakao walea na kuwaonyesha njia na mbinu za kuwa kama wao.

Akiongea na waandishi wa habari katika uzinduzi wa programu hiyo leo jijini Dar es salaam Mratibu wa Mafunzo ya Jinsia Jane Tesha alisema kuwa lengo kuu la  programu hiyo ni kuwalea vijana wakike walio katika uongozi au wanaotarajiwa kuingia katika uongozi ili waweze kuwa imara katika nafasi zao.

Aliongeza kwa kusema kuwa jumla ya washiriki 33 watapata nafasi ya kukuzwa na kufunzwa jinsi ya kuzitumia rasilimali walizonazo kupitia makungwi walioteuliwa kuwafunza katika nyanja tofauti tofauti.

Mratibu wa mafunzo ya jinsia(GTI) Bi. Jane Tesha akiongea na waandishi wa habari ambao hawapo pichani mapema leo jijini Dar es salaam, kuhusu uzinduzi wa program maalum kwa ajiri ya kuwasaidia mabinti walioko au wanaotarajia kuingia katika nafasi za uongozi na maamuzi.
Aidha Dada Jeni aliendelea kusema kuwa mafunzo hayo yatakuwa ya miezi 6 na washiriki watapewa mafunzo katika Nyanja kama afya, uandisi, wanasheria, biashara na nyingine nyingi ili kuendelea kuongeza pato la taifa kupitia vijana ambao ni asilimia 61 ya watanzania wote.

“Elimu hii tutakayoitoa kwa wanawake hasa vijana ambao ni asilimia 61 ya watanzania wote, itawasaidia kujitambua na kutambua fursa mbalimbali walizonazo na kuwa na ujasiri wa kugombea pamoja na kushiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi na maamuzi ili kuweza kufikia malengo ambayo 50 kwa 50 katika uongozi kati ya wanawake na wanaume”. Alisema Dada Jeni

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao Lilian Liundi alisema huu ni mwanzo tu tumeanza na vijana wa mjini kwa kuwapa fursa hii lakini tunaandaa mpango mwingine ambao utakuja hivi karibuni ambao utawagusa na wale wa vijijini.

“Kwa wasichana ambao wapo vijijini na hawana chanzo chochote cha mtandao hawa ndio malengo yetu makuu, hivyo basi tutahakikisha wanapata elimu hii kwa kuwapelekea makungwi waweze kuwapika kupitia vituo vyetu vya taarifa na maarifa ili wasiweze kupitwa na programu hii”. Alisema Mkurugenzi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...