Skip to main content

Pili Pili Entertainment kuibua vipaji vya muziki




WASANII wa muziki wa Bongoflava nchini wameanza kurekodi nyimbo zao
kupitia ujio wa Studio mpya ya Pili Pili Entertainment ambayo awali
ilikuwa ikijihusisha na wasanii wa filamu nchini.




Hali hiyo ya wasanii hao kuanza kuingiza sauti zao kupitia studio hiyo, 
imekuja, kuanzia mapema mwezi huu kufuatia kampuni hiyo yenye umaarufu 
katika tasnia ya filamu nchini kufungua studio itakayo jishugulisha na
 kurekodi muziki .


Kwa mujibu wa meneja wa meneja wa studio hiyo PRosper kiri
alisema kuwa kampuni hiyo inarudi kwa nguvu zaidi baada ya awali
kuwasimamia wasanii nyota Fesail Ismail and baby madaha. 

Alisema kwa malengo makubwa wanakuja kusimamia vipaji sahihi vya
muziki kwani, mara baada ya wasanii watakao weza kufnya kazi
nao watakuwa wameweza kuwa sehemu ya ajira kupitia muziki.

"Tayari tumeanza kurekodi kazi za muziki ambapo hadi sasa 
wasanii watano wameweza kurekodi chini ya kampuni hii,"alisema 
Prosper.



PRosper alisema baada ya kufanya kazi na wasanii kama Baby Madah na
Feisal Ismail waliotokea kwenye Bongo star Seach na makamuzi
yao  kuonekana chini ya Pili Pili Entertainment kwa kwa kusimamiwa
 kutengeneza albamu kupitia studio zingine wakati huo.

Alisema hivyo wameanza kwa kusajili majina ya wasanii watano 
ambapo muendelezo wa siku za usoni utawa utawapa maisha mazuri
wasanii walio chini yao kwani muziki unaendelea kuwa biashara
kubwa duniani.

Prosper ambaye ni msanii wa filamu meneja katika kitengo hicho 
amefikia hadhi hiyo ya kuwa meneja kwa kukaa ndani ya Kampuni
ya Pili Pili kwa muda mrefu huku akiwa amefanya vema kwa kazi
za filamu kama Days Of Night,filamu ya dhamira tamthilia ya
Talaka .


Studio hiyo mpya ni sehemu ya kampuni ya ndani ya nyumba ya 
pili Pili Sinza jijini hapa, na ipochini ya maprodyuza mahiri
kama Gerry Beats,Sammily(Dr Dre).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...