Skip to main content

MKUU wa Wilaya ya Ilala Mjema:Uchaguzi ujao wa mwaka 2020 Chama cha mapinduzi itachukua dola








MKUU wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amewasilisha taarifa ya Utekelezaji  wa Ilani ya ccm ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 hadi 2017 akiwasilisha taarifa hiyo Sophia Mjema alisema katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 Chama cha mapinduzi itachukua dola.


Mjema alisema katika wilaya ya Ilala   chama cha mapinduzi   itashinda  chaguzi za Kata na kuzoa viti vya ubunge vyote    na kuendelea kushika dola .

"Wilaya ya Ilala kwa sasa INA madiwani 49 katika baraza la madiwani kati ya madiwani 49, Madiwani 17 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA , madiwani 21 wa Chama cha Mapinduzi CCM na madiwani saba wa Chama cha Wananchi CUF   na Wabunge watatu " alisema Mjema.

Mjema amesema hali ya kisiasa kwa sasa Wilaya ya Ilala safi    katika utekelezaji wa Ilani .

Akielezea muundo wa Utawala wilaya hiyo INA tarafa TATU kata 36 na mitaa  159, tarafa ya KARIAKOO ina kata kata 13 mitaa 23, Tarafa ya Ilala kata 14 mitaa 75 na tarafa ya Ukonga Kata 9 mitaa 61 majimbo ya uchaguzi matatu
Ilala kata 10, Ukonga Kata 13 na Jimbo la SEGEREA kata 13.

Amesema katika Wilaya hiyo kwa mujibu wa sensa ya makazi iliyofanyika Kitaifa 2012 wilaya INA wakazi jumla 1,220 , 611 wakiwemo Wanaume 595,928 na WANAWAKE 624,683 kufuatia ongezeko la Watu la asilimia 5.6 kwa mwaka kwa sasa 2016 idadi ya wakazi inakadiriwa kufikia 1, 515,359
Wanaume 739,830 na WANAWAKE 775,529.

Akizungumzia shughuli za kiuchumi kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Idara ya Takwimu ya Taifa (NBS) inakadiriwa kuwa asilimia 43,97 ya wakazi wa Ilala wameajiliwa katika sekta binafsi na sekta ya Umma  na asilimia 56 .03 wamejiajili wenyewe na katika sekta binafsi wanajishughulisha na shughuli ndogondogo uvuvi ,kilimo na ufugaji wastani wa pato la mkazi wa wilaya hiyo ni sh. 1,73 4,842 kwa mwaka.

" Utekelezaji wa mpango wa Ilani sekta ya fedha kwa mwaka wa fedha 2017 hadi 2018 mpango wa Ilani umelenga kuendelea kuboresha takwimu za Walipa kodi wetu kutoka katika chanzo cha Mapato  kuendelea kununua vitendea kazi hususani magari ya kufuatilia mapato na vifaa vya Kielektroniki vya kupokelea mapato, Kukusanya jumla ya  sh, 59 , 991 kutoka vyanzo vya ndani" alisema .

 Mjema akielezea sekta ya huduma za jamii katika kutekeleza Ilani ya mwaka 2017 hadi 2018 mpango umelenga kuandikisha watoto 7,460,wa Shule za awali na watoto 19, 705 darasa la kwanza  katika shule   za msingi  na kununua madawati 2000, ujenzi wa vyumba vya madarasa 50,matundu ya vyoo 145 na ujenzi wa OFISI nane  za Walimu .

   Wakati huohuo Sophia Mjema amemtaka Mkurugenzi wa Ilala kuwachukulia hatua Wenyeviti wa Mtaa wanaotoza  sh.2000, hadi 5000 kwa wananchi wakienda kuomba Barua ya utamburisho bila kujali chama anachotoka iwe CCM au chama cha upinzani kwani utawala bora hauruhusu kuwahudumia wananchi kwa malipo.

Amewagiza Wajumbe wa Halmashauri kuu kuchukua rekodi ya Wenyeviti wa Mtaa wenye tabia  hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...