Skip to main content

MKUU wa Wilaya ya Ilala Mjema:Uchaguzi ujao wa mwaka 2020 Chama cha mapinduzi itachukua dola








MKUU wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amewasilisha taarifa ya Utekelezaji  wa Ilani ya ccm ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 hadi 2017 akiwasilisha taarifa hiyo Sophia Mjema alisema katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 Chama cha mapinduzi itachukua dola.


Mjema alisema katika wilaya ya Ilala   chama cha mapinduzi   itashinda  chaguzi za Kata na kuzoa viti vya ubunge vyote    na kuendelea kushika dola .

"Wilaya ya Ilala kwa sasa INA madiwani 49 katika baraza la madiwani kati ya madiwani 49, Madiwani 17 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA , madiwani 21 wa Chama cha Mapinduzi CCM na madiwani saba wa Chama cha Wananchi CUF   na Wabunge watatu " alisema Mjema.

Mjema amesema hali ya kisiasa kwa sasa Wilaya ya Ilala safi    katika utekelezaji wa Ilani .

Akielezea muundo wa Utawala wilaya hiyo INA tarafa TATU kata 36 na mitaa  159, tarafa ya KARIAKOO ina kata kata 13 mitaa 23, Tarafa ya Ilala kata 14 mitaa 75 na tarafa ya Ukonga Kata 9 mitaa 61 majimbo ya uchaguzi matatu
Ilala kata 10, Ukonga Kata 13 na Jimbo la SEGEREA kata 13.

Amesema katika Wilaya hiyo kwa mujibu wa sensa ya makazi iliyofanyika Kitaifa 2012 wilaya INA wakazi jumla 1,220 , 611 wakiwemo Wanaume 595,928 na WANAWAKE 624,683 kufuatia ongezeko la Watu la asilimia 5.6 kwa mwaka kwa sasa 2016 idadi ya wakazi inakadiriwa kufikia 1, 515,359
Wanaume 739,830 na WANAWAKE 775,529.

Akizungumzia shughuli za kiuchumi kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Idara ya Takwimu ya Taifa (NBS) inakadiriwa kuwa asilimia 43,97 ya wakazi wa Ilala wameajiliwa katika sekta binafsi na sekta ya Umma  na asilimia 56 .03 wamejiajili wenyewe na katika sekta binafsi wanajishughulisha na shughuli ndogondogo uvuvi ,kilimo na ufugaji wastani wa pato la mkazi wa wilaya hiyo ni sh. 1,73 4,842 kwa mwaka.

" Utekelezaji wa mpango wa Ilani sekta ya fedha kwa mwaka wa fedha 2017 hadi 2018 mpango wa Ilani umelenga kuendelea kuboresha takwimu za Walipa kodi wetu kutoka katika chanzo cha Mapato  kuendelea kununua vitendea kazi hususani magari ya kufuatilia mapato na vifaa vya Kielektroniki vya kupokelea mapato, Kukusanya jumla ya  sh, 59 , 991 kutoka vyanzo vya ndani" alisema .

 Mjema akielezea sekta ya huduma za jamii katika kutekeleza Ilani ya mwaka 2017 hadi 2018 mpango umelenga kuandikisha watoto 7,460,wa Shule za awali na watoto 19, 705 darasa la kwanza  katika shule   za msingi  na kununua madawati 2000, ujenzi wa vyumba vya madarasa 50,matundu ya vyoo 145 na ujenzi wa OFISI nane  za Walimu .

   Wakati huohuo Sophia Mjema amemtaka Mkurugenzi wa Ilala kuwachukulia hatua Wenyeviti wa Mtaa wanaotoza  sh.2000, hadi 5000 kwa wananchi wakienda kuomba Barua ya utamburisho bila kujali chama anachotoka iwe CCM au chama cha upinzani kwani utawala bora hauruhusu kuwahudumia wananchi kwa malipo.

Amewagiza Wajumbe wa Halmashauri kuu kuchukua rekodi ya Wenyeviti wa Mtaa wenye tabia  hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.