Skip to main content

RAPPERS WALIOTENGENEZA PESA YA KUTAKATA MWAKA 2011



Wiki hii ndio Jay-z na Kanye West wanatarajia kuachia albamu yao ya pamoja inayoitwa "Watch the Throne".
Pamoja na soko la muziki bado likiwa linaonekana kuwa gumu,ila Rappers wengi wanaonekana kuendelea kutengeneza mamilioni ya dola za kimarekani kupitia biashara nyingine mbali mbali ikiwemo na muziki pia.

Lile jarida maarufu la marekani limetoa orodha ya wasanii 20 ambao wameonekana kutengeneza pesa nyingi kupitia muziki. Na kama kawaida kwa miaka 3 mfululizo Shawn Cutter a.k.a Jay-z ameendelea kushikilia namba moja.
ORODHA YENYEWE NDIO KAMA IFUATAVYO:


1. JAY -Z
   Jamaa akiwa anamiliki lebo ya muziki ya Roc Nation,migahawa ya 40/40,kampuni ya mavazi ya Roca Wear,ameendelea kushikilia namba moja na safari hii akiwa anatajwa kutengeneza kiasi cha dola za marekani 37 milioni.
2. P. DIDDY
     Yeye mwaka jana alianzisha kundi lake la muziki la "Diddy Dirty Money" na akaachia albamu yake na kundi lake hilo iliyoitwa ''Last Train To Paris". Anatajwa kutengeneza kiasi cha dola za marekani milioni 35. Na anamiliki biashara mbalimbali ikiwemo kampuni ya mavazi ya Sean John,na ana hisa kwenye kinywaji cha Ciroc Vodka.
3. KANYE WEST

        Jamaa ametengeneza kiasi cha dola za marekani milioni 16. Na yupo mbioni kuachia albamu ya pamoja na Jay-z itakayoitwa ''Watch The Throne"
4. LIL WAYNE

         Akiwa ametoka jela mnamo mwaka jana mwezi novemba,lakini kutokana kufanya maonesho mengi ya muziki na pia kupitia kampuni yake ya muziki ya Young Money Entertainment,amefanikiwa kutengeneza kiasi cha dola za marekani milioni 15.
5. BIRDMAN a.k.a BABY

         Yeye kwa pamoja na kaka yake anayeitwa Ronald Wiliams a.k.a Slim wanamiliki kampuni ya muziki ya Cash Money Records. Yeye anatajwa kutengeneza kiasi cha dola za marekani milioni 15. Kiasi cha pesa ambacho ni sawasawa na kile cha Lil Wayne ambaye ni mwanae wa kumlea.
 WENGINE KWENYE ORODHA,NI HAWA WAFUATAO:

6. Eminem: $ 14 milion
7. Snoop Dogg: $14 million
8. Dr. Dre: $14 million
9. Akon: $13 million
10. Ludacris: $12 million

11. Wiz Khalifa: $11 million
12. Drake: $11 million


13: Pharrell Williams: $10 million
14. Timbaland: $7 million
15. Swizz Beatz: $6.5 million
16. Nicki Minaj: $6.5 million
17. Rick Ross: $6 million
18. 50 Cent: $6 million

19. Pitbull: $6 million
20. T-Pain: $5 million
20. B.o.B: $5 million

Ukitazama orodha hiyo hapo utaona kuna mwanamke mmoja tu ambaye ni Nicki Minaj kati ya wote 20 waliopo. Pia utaona wasanii wapya ambao wamepata umaarufu hivi karibuni kama B.o.B na Wiz Khalifa wakiingia kwenye orodha hiyo kwa mara ya kwanza. Pia kuna wengine ambao wanaonekana kuporomoka,akiwemo 50 Cent na T-Pain. Wakati Drake akionekana kupanda juu,na The Boss mwenyewe Rick Ross akiwa pale pale. Source mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...