Skip to main content

Cheo cha Ofisa Habari chafutwa ZFA

CHAMA cha Soka cha Zanzibar (ZFA) kimemuondoa msemaji na ofisa wake wa habari, Munir Zakaria kwa madai kuwa, cheo hicho kimefutwa.
Uamuzi wa kufutwa kwa cheo hicho ulifikiwa katika kikao cha kamati ya utendaji ya chama hicho kilichofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye hoteli ya Ocean View mjini hapa.
Katika kikao hicho kilichoongozwa na rais mpya wa ZFA, Amani Makungu, wajumbe walifikia uamuzi wa kukifuta cheo hicho kwa vile hakimo kwenye katiba.
Katibu Mtendaji wa ZFA, Kassim Haji Salum alisema juzi mjini hapa kuwa, uteuzi wa ofisa habari ulifanyika kimakosa katika uongozi uliopita kwa vile cheo hicho hakimo kwenye katiba.
Salum alisema kwa mujibu wa katiba ya chama hicho, msemaji mkuu wa masuala mbalimbali yanayoihusu ZFA ni rais wake kwa kushirikiana na katibu mkuu.
"Kwa mujibu wa katiba yetu, rais anazo nafasi nne za kufanya uteuzi wa watu wa kumsaidia kazi, lakini hakuna nafasi ya ofisa habari. Kazi ya kukisemea chama ni ya rais kwa kushirikiana na katibu mkuu", alifafanua.
Hata hivyo, Salum alisema Zakaria ataendelea kuwa mjumbe wa kawaida wa kamati ya utendaji ya ZFA kwa vile uteuzi wake ulifuata katiba.
“Kwa sasa tumeamua kufanya kazi zetu kikatiba zaidi na kufutwa kwa cheo cha ofisa habari ni utekelezaji wa mkakati wetu huo,”alisema.
Uchunguzi uliofanywa na Burudani umebaini kuwa, kuondolewa kwa Zakaria katika nafasi hiyo kulitokana na kauli yake kwa vyombo vya habari kwamba, iwapo Simba na Azam zitafuzu kucheza fainali ya michuano ya Kombe la Urafiki, mechi hiyo itachezwa Dar es Salaam badala ya Zanzibar.
Imedaiwa kuwa, Zakaria alitoa kauli hiyo bila kupata idhini kutoka kwa viongozi wa chama hicho pamoja na waandaaji wa mashindano hayo.
Kauli hiyo iliwakera wadau wa michezo visiwani Zanzibar, ambao wamekuwa wakihoji iweje fainali hiyo ihamishiwe Dar es Salaam katika hatua ya mwisho wakati mechi zote za mwanzo zilichezwa kwenye Uwanja wa Amaan.
Katika hatua nyingine, ZFA imemteua Suleiman Mahmoud Jabir kuwa mkurugenzi mpya wa ufundi wa chama hicho wakati Abdalla Juma Mohamed ameteuliwa kuwa mwanasheria wa chama.
Salum alisema juzi kuwa, kazi za mkurugenzi huyo wa ufundi ni kupanga programu za maendeleo ya soka kwa timu za madaraja yote na pia mitaala ya mafunzo ya soka kwa waamuzi, makocha na viongozi wa klabu.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...