Skip to main content

Cheo cha Ofisa Habari chafutwa ZFA

CHAMA cha Soka cha Zanzibar (ZFA) kimemuondoa msemaji na ofisa wake wa habari, Munir Zakaria kwa madai kuwa, cheo hicho kimefutwa.
Uamuzi wa kufutwa kwa cheo hicho ulifikiwa katika kikao cha kamati ya utendaji ya chama hicho kilichofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye hoteli ya Ocean View mjini hapa.
Katika kikao hicho kilichoongozwa na rais mpya wa ZFA, Amani Makungu, wajumbe walifikia uamuzi wa kukifuta cheo hicho kwa vile hakimo kwenye katiba.
Katibu Mtendaji wa ZFA, Kassim Haji Salum alisema juzi mjini hapa kuwa, uteuzi wa ofisa habari ulifanyika kimakosa katika uongozi uliopita kwa vile cheo hicho hakimo kwenye katiba.
Salum alisema kwa mujibu wa katiba ya chama hicho, msemaji mkuu wa masuala mbalimbali yanayoihusu ZFA ni rais wake kwa kushirikiana na katibu mkuu.
"Kwa mujibu wa katiba yetu, rais anazo nafasi nne za kufanya uteuzi wa watu wa kumsaidia kazi, lakini hakuna nafasi ya ofisa habari. Kazi ya kukisemea chama ni ya rais kwa kushirikiana na katibu mkuu", alifafanua.
Hata hivyo, Salum alisema Zakaria ataendelea kuwa mjumbe wa kawaida wa kamati ya utendaji ya ZFA kwa vile uteuzi wake ulifuata katiba.
“Kwa sasa tumeamua kufanya kazi zetu kikatiba zaidi na kufutwa kwa cheo cha ofisa habari ni utekelezaji wa mkakati wetu huo,”alisema.
Uchunguzi uliofanywa na Burudani umebaini kuwa, kuondolewa kwa Zakaria katika nafasi hiyo kulitokana na kauli yake kwa vyombo vya habari kwamba, iwapo Simba na Azam zitafuzu kucheza fainali ya michuano ya Kombe la Urafiki, mechi hiyo itachezwa Dar es Salaam badala ya Zanzibar.
Imedaiwa kuwa, Zakaria alitoa kauli hiyo bila kupata idhini kutoka kwa viongozi wa chama hicho pamoja na waandaaji wa mashindano hayo.
Kauli hiyo iliwakera wadau wa michezo visiwani Zanzibar, ambao wamekuwa wakihoji iweje fainali hiyo ihamishiwe Dar es Salaam katika hatua ya mwisho wakati mechi zote za mwanzo zilichezwa kwenye Uwanja wa Amaan.
Katika hatua nyingine, ZFA imemteua Suleiman Mahmoud Jabir kuwa mkurugenzi mpya wa ufundi wa chama hicho wakati Abdalla Juma Mohamed ameteuliwa kuwa mwanasheria wa chama.
Salum alisema juzi kuwa, kazi za mkurugenzi huyo wa ufundi ni kupanga programu za maendeleo ya soka kwa timu za madaraja yote na pia mitaala ya mafunzo ya soka kwa waamuzi, makocha na viongozi wa klabu.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...