Skip to main content

FAMILIA YA SERENA YATAMBA WIMBLEDON


Serena na Venus wakiwa na vikombe walivyotwaa katika michuano ya wazi ya tennis ya wachezaji wawili wawili ya Wimbledon
Serena na Venus wakipongezana na wapinzani wao baada ya mchezo kumalizika

Serena akirudisha mpira kwa nguvu kwa mpinzani wake wakati wa fainali ya mchezaji mmoja mmoja

Serena akipongezwa na baba yake, Richard William mara baada ya kutwaa taji la mchezaji mmoja mmoja. Kushoto ni dada yake, Venus

Serena akishangilia kwa kulala uwanjani baada ya kushinda taji la tennis la Wimbledon

Serena akinyanyua juu tuzo aliyozawadiwa baada ya kushinda taji la tennis la Wimbledon


Saa chache baada ya kutwaa taji la michuano ya wazi ya tennis ya Wimbledon kwa mchezaji mmoja mmoja, Serena Williams alifanikiwa kutwaa taji la wachezaji wawili wawili kwa kushirikiana na dada yake, Venus Williams.

Katika mechi hiyo ya fainali iliyokuwa na ushindani mkali, Serena (30) na Venus (32) waliwabwaga Andrea Hlavackova na Lucie Hradecka wa Jamhuri ya Czech kwa 7-5, 6-4.

Taji alilotwaa Serena kwa wachezaji mmoja mmoja baada ya kumbwaga Radwanska lilikuwa la tano katika rekodi yake na la 14 katika michuano mbalimbali ya mchezo huo.

Safari hii Venus alishindwa kufika mbali katika michuano hiyo baada ya kutolewa raundi ya tano na Elena Vesnia wa Russia.

Venus na Serena waliwahi kutwaa taji la wachezaji wawili wawili katika michuano ya Wimbledon kuanzia mwaka 2000, 2002, 2008 na 2009

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...