Skip to main content

FAMILIA YA SERENA YATAMBA WIMBLEDON


Serena na Venus wakiwa na vikombe walivyotwaa katika michuano ya wazi ya tennis ya wachezaji wawili wawili ya Wimbledon
Serena na Venus wakipongezana na wapinzani wao baada ya mchezo kumalizika

Serena akirudisha mpira kwa nguvu kwa mpinzani wake wakati wa fainali ya mchezaji mmoja mmoja

Serena akipongezwa na baba yake, Richard William mara baada ya kutwaa taji la mchezaji mmoja mmoja. Kushoto ni dada yake, Venus

Serena akishangilia kwa kulala uwanjani baada ya kushinda taji la tennis la Wimbledon

Serena akinyanyua juu tuzo aliyozawadiwa baada ya kushinda taji la tennis la Wimbledon


Saa chache baada ya kutwaa taji la michuano ya wazi ya tennis ya Wimbledon kwa mchezaji mmoja mmoja, Serena Williams alifanikiwa kutwaa taji la wachezaji wawili wawili kwa kushirikiana na dada yake, Venus Williams.

Katika mechi hiyo ya fainali iliyokuwa na ushindani mkali, Serena (30) na Venus (32) waliwabwaga Andrea Hlavackova na Lucie Hradecka wa Jamhuri ya Czech kwa 7-5, 6-4.

Taji alilotwaa Serena kwa wachezaji mmoja mmoja baada ya kumbwaga Radwanska lilikuwa la tano katika rekodi yake na la 14 katika michuano mbalimbali ya mchezo huo.

Safari hii Venus alishindwa kufika mbali katika michuano hiyo baada ya kutolewa raundi ya tano na Elena Vesnia wa Russia.

Venus na Serena waliwahi kutwaa taji la wachezaji wawili wawili katika michuano ya Wimbledon kuanzia mwaka 2000, 2002, 2008 na 2009

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.