Skip to main content

Balozi Seif awataka Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na Wazazi kujenga Misingi ya Maadili imara


Na Othman Khamis Ame

Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na Wazazi wanahitajika kuendelea kujenga Misingi ya Maadili imara ambayo inaonekana kulega lega hasa kwa Vijana kunakosababishwa na Mambo tofauti likiwemo la kukua kwa Mawasiliano ya Sayansi na Teknolojia Duniani.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alieleza hayo wakati akiiungua Ijitimai ya 17 ya Kimataifa inayofanyika katika majengo ya Jumuiya ya Fiy Sabilillah Tablih Markaz Fuoni Migombani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Balozi Seif alisema Watanzania wengi hasa Vijana wamekuwa wakijijengea Utamaduni wa kuiga maadili mabovu badala ya kufanya mema ambayo yanakwenda kinyume na Mila, Silka na hata Taratibu za Dini.

Balozi Seif alitoa rai kuwa pamoja na mada nyengine zilizoandaliwa katika Ijitimai hiyo ni vyema kwa wahadhiri watakaopata fursa waitumie hadhara hiyo kujadili kwa kina mbinu zitakazosaidia kurejesha maadili mema miongoni mwa Vijana Nchini.

Makamu waPili wa Rais wa Zanzibar alitahadharisha kwamba mmong’onyoko wa maadili ni tishio kwa Ustawi wa Taifa lolote lile hapa Duniani.

“Siku hizi si jambo la ajabu kukutana na kundi la Vijana wa Kiislamu wanatumia dawa za kulevya zinazopelekea kujiingiza katika vitendo viovu”. Alitanabahisha Balozi Seif .

Akikumbusha suala la umuhimu wa Waislamu kufanya kazi, Balozi Seif alisema hakuta kuwa na njia ya mkato wa kuendesha afamilia bila ya kufanya kazi kwa bidii.

Alisema Uislamu kupitia Kitabu kitukufu Qurani sdambamba na Hadithi zake imesisitiza umuhimu wa kufanya kazi za halali ili kuwa na sababu ya kujipatia chumo la halali.

Balozi Seif alikariri moja ya Hadithi iliyopokelewa kutoka kwa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu Mtume Muhammad { SAW } ikisema chumo bora ni lile mja alichumalo kwa mikono yake.

“ Tabia iliyojengeka katika Jamii yetu ya ubadhirifu wa Mali za Umma tukumbushane kuwa tabia hiyo haifai na tuachane nayo mara moja”. Alitahadharisha Balozi Seif.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliwahakikishia waumini wa dini zote Nchini kwamba Serikali itaendelea kuheshimu uhuru wa kuabudu kwa kushirikiana na Taasisi zote za Kidini Nchini kwa lengo la kustawisha Jamii yote.

Alisema Katiba ya Nchi ijnaeleza wazi kwamba kila mtu ana haki ya kuabudu dini aitakayo mradi havunji sheria za Nchi.

Kuhusu suala la Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliwaomba Viongozi wa Dini zote kuhamasisha wafuasi wao kushiriki kikamilifu katika zoezi la kuhesabiwa linalotarajiwa kufanyia usiku wa kuamkia tarehe 26 Agisti Mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.