Skip to main content

SIMBA, AZAM ZAGOMA KUCHEZA AMAAN, FAINALI YAHAMISHIWA DAR






MECHI ya fainali ya michuano ya soka ya Kombe la Urafiki kati ya Simba na Azam imehamishwa kutoka Uwanja wa Amaan, Zanzibar kwenda Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mechi hiyo, ambayo awali ilikuwa ichezwe kesho kwenye Uwanja wa Amaan, sasa itachezwa Alhamisi kwenye Uwanja wa Taifa.

Katibu wa kamati ya maandalizi ya michuano hiyo, Suleiman Jabir aliwaambia waandishi wa habari mjini Dar es Salaam leo kuwa, uamuzi huo umefikiwa kutokana na timu hizo mbili kugoma kucheza uwanja wa Amaan.

Jabir amewaomba radhi mashabiki wa soka wa Zanzibar kutokana na fainali hiyo kuhamishiwa Dar kwa madai kuwa, jambo hilo lipo nje ya uwezo wao.

Awali, Simba na Azam ziligoma kucheza fainali hiyo kwenye Uwanja wa Amaan kwa madai kuwa ni mbovu na umesababisha kuumia kwa baadhi ya wachezaji wao.

Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange 'Kaburu' aliwaambia waandishi wa habari kuwa, eneo la kuchezea soka kwenye uwanja huo ni bovu.

Kaburu alisema wapo tayari kucheza fainali hiyo kwenye uwanja wowote, lakini si Uwanja wa Amaani.

Alisema waliwasilisha malalamiko hayo kwa waandaaji kwa muda mrefu, lakini hawakuweza kuyafanyia kazi.

Kaburu alisema kutokana na timu yake kushiriki kwenye michuano ya Kombe la Kagame, wana hofu wachezaji wao wanaweza kuumia zaidi kwenye mechi hiyo.

Aliwataja wachezaji wa Simba walioumia tangu kuanza kwa michuano hiyo kuwa ni Lino Masimbo, Salim Kinje na Mussa Mudde.

Meneja wa Azam, Patrick Setter alisema klabu yake inawapenda na kuwaheshimu mashabiki wa Zanzibar, lakini kutokana na hali ya uwanja wa Amaan, hawawezi kucheza mechi ya fainali visiwani humo.

“Tupo tayari hata kwenda kucheza Pemba ama kwingine kokote, lakini sio hapa Amaan. Hofu yetu ni wachezaji wetu wengi zaidi kuumia,"alisema.

Kwa mujibu wa Patrick, wachezaji wa Azam walioumia tangu kuanza kwa michuano hiyo ni Michael Kipre, Jabir Azizi na Kipre Tchetche.

Alisema hawagomi kucheza mechi hiyo Uwanja wa Amaan kwa sababu ya maslahi, bali wanajali zaidi afya za wachezaji wao.

Rais wa ZFA, Amani Makungu alisema wapo tayari kupokea lawama kutoka kwa wapenzi wa soka wa Zanzibar, lakini hawana la kufanya.

Alisema walikuwa wakifikiria kuihamishia mechi hiyo Uwanja wa Gombani, Pemba lakini wameshindwa kutokana na gharama kubwa kwa vile viongozi wa Simba na Azam wametaka kusafirishwa kwa ndege.

Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.