Skip to main content

WASANII WAKIKE NIGERI WENYE MAUMBO MAKUBWA NI DILI





KAMA ilivyo sehemu nyingi duniani, hata Nigeria sura za wasanii wa kike wenye maumbo makubwa ndizo hutawala kwenye kurasa za mbele za magazeti ya udaku na majarida ya burudani.

Wasanii hao wanageuka gumzo la majiji kama Lagos na Abuja haswa inapotokea hafla kubwa hususani zile za usiku.

Hii ni kutokana na maumbo yao makubwa ya mwili na jinsi wanavyopenda kuvaa nguo ambazo huacha wazi sehemu kubwa za miili yao haswa matiti.

Mastaa hao wengi wao wamekuwa wakikiri hadharani kwamba si kitu cha ajabu kufanya hivyo kwani kila mmoja ana utaratibu wake wa kuvaa hasa kwenye matukio maalum ya usiku.

Hivyo kwao kama kuna mapaparazi wanawafuatilia ni juu yao. Watajiju. Wengi wa wasanii hao huvaa saizi 12 au zaidi.

Wakikupitia karibu lazima usisimke na ugeuke nyuma kuwaangalia hata mara tano.

Ifeoma Okeke
Ana mvuto halafu ni mpana, anajua kutinga staili za aina yake ambazo akipita lazima ugeuze shingo. Licha ya unene wake, lakini anaamini kwamba hana mpinzani kwenye suala la mvuto.

Alitamba na filamu ya Evil Genius na kila siku anazidi kupanuka tu. Amesema kwamba hajisikii vibaya kwa jinsi alivyo na wala haoni cha ajabu.

Marafiki zake wa karibu wamedokeza kwamba anakaribia kufikisha uzito wa kilo 200 na wamekuwa wakimshauri kujiangalia mara mbili.

Chioma Toplis
Mwenyewe amejiangalia na kukiri kwamba katika miezi ya karibuni uzito umekuwa ukipanda kwa kasi mpaka anashangaa.

Amesisitiza kwamba tayari ameanza mazoezi makali kujiweka fiti ingawa bado hajaona dalili ya kupungua.

Habari za uhakika zinadai kwamba amekuwa hapendi mambo ya kuchanganya akili yake katika miezi ya hivi karibuni kwa vile anaogopa kufa kwa kisukari na presha.

Wengine wanajiuliza, je? Kwa Manyama uzembe aliyoendekeza ataendelea kuwa na mvuto siku zijazo?

Eniola Badmus
Ana bonge la kitambi siku hizi na wala hajawahi kusikika akilalamika. Msanii huyo maarufu kwa jina la Gbogbo Big Girl, ni binti anayependa kujipodoa ingawa hakuna uhakika kama anajua madhara yake.

Uchunguzi unaonyesha kwamba mwili wake mkubwa ndiyo umemfanya akawa maarufu zaidi kuliko kazi anazofanya.

Adaora Ukoh
Marafiki zake wamesikika wakimuonya mara kadhaa, lakini ni kama vile anaona yuko sawa.

Miezi michache iliyopita alizindua gauni kubwa alilolipa jina la Adaora akiwa anamaanisha kwamba ni nguo maalum kwa ajili ya wasichana mabonge kama yeye.

Anaamini kila mwanamke ni mrembo na uzuri uko ndani na si ukubwa wa mwili japokuwa ameanza mazoezi ya gym.

Foluka Daramola
Foluke Daramola anaijua kazi yake, acha apewe sifa. Lakini mashabiki wake wamekuwa wakiguna kila wanapomuona kutokana na unene wake mkubwa. "Unene au mwili wa mtu ni suala binafsi la maisha ya msichana hakuna wa kumuamulia, najua ninachopaswa kufanya," ndivyo anavyosema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...