Skip to main content

......“BAJETI YA FILAMU ZANGU HUWA HAIPUNGUI SH. MILIONI 25″ – JACKLINE WOLPER…....

 


BAJETI za wasanii wengi wa kibongo wanapotengeza filamu zao ni chini ya milioni 7, lakini msanii wa filamu bongo Jackline Wolper, inadaiwa kuwa ni nyota pekee anayetengeneza filamu kwa gharama kubwa kuliko msanii yeyote Tanzania.

Mmoja wa rafiki wa karibu na msanii huyo ambaye huwa karibu karibu upangaji wa bajeti katika filamu zake, aliyekataa kutajwa kwa jina lake, alidai kuwa msanii huyo hutumia sh mil 25-30 katika filamu moja kiasi ambacho hakuna msanii yeyote anawefikia.

Alidai kuwa wasanii wengi wa kibongo hutengeneza filamu kwa mil 5-7, ingawa kiasi hicho ni kikubwa, kwani hata wale wasanii wanaoshiriki katika filamu hizo, wanalipwa kaisi kidogo cha pesa.

“Wolper amekuwa msanii namba moja katika kutengeneza filamu za gharama, na pesa hizo zinatumia katika malipo ya wasanii, hivyo unazani kama angedkuwa anatumia mil 7, katika kutengeneza filamu hata hao wasanii waoshiriki watalipwa kiasi gani,” alihoji.

Aliongeza kuwa wapo baadhi ya waandaaji wa filamu wengine ambao huwalipa wasanii sh 50,000 na kiwango cha juu sana ni sh laki moja ‘100,000′ lakini kwa upande wa Wolper huwalipa kiasi kikubwa cha pesa wale wanaoshiriki katika filamu zake.

Katika kuweka usawa wa ishu hiyo alitafutwa Wolper ili kuweka wazi kauli hizo za rafiki yake kama ni kweli hutumia kiasi hicho cha pesa, na baada ya kupatika alijibu kuwa filamu zake hutumia kiasi kikubwa cha pesa na hii inatokana na kujua umuhimu wa kazi hiyo pamoja na wale wasanii anaowatumia kwani wanakuwa wameacha kazi zao nyingine.

“Mimi siwezi kumtumia msanii na kumlipa hela ya chakula eti nimemlipa, najua hii ni kazi hivyo kila mtu anatakiwa kulipwa kiasi ambacho najua kitakuwa fair, huwa tunalipa kuligana na nafasi ya mshiriki katika filamu,”. alisema

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.