Skip to main content

Zitto Kabwe aug’ang’ania urais 2015

NA THOBIAS MWANAKATWE

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, ameung’ang’ania urais kwa kusema kama urais upo utakuja tu na kwamba hana mashaka na uwezo, uadilifu, uzalendo wake pamoja na kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.


Zitto ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, ametoa kauli hiyo siku chache, baada gazeti moja (siyo NIPASHE) kuandika kuwa wabunge wawili wa Chadema wamemsafishia njia ya kugombea kiti hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Hata hivyo, juzi ikiwa ni siku moja baada ya kuchapishwa kwa habari hiyo, wabunge hao ambao ni Joshua Nassari (Arumeru Mashariki na Halima Mdee (Kawe) walitoa taarifa katika vyombo vya habari za kutoa kauli za kukanusha na kujiweka mbali na mpango wa kumpigia debe Zitto.
Zitto alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akichangia makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2012/13.
“Ndugu zangu wasanii, najua kuwa suala la tamasha la Kigoma limeleta maneno maneno kidogo ya kisiasa, lakini hayo ni maneno yatapita kwa sababu kama urais upo utakuja tu, kama haupo hautakuja, hata mtu afanye nini,” alisema na kuongeza:
“Muhimu ni kuhakikisha kuwa tunafanya kazi ya ziada kuitetea nchi yetu na jambo moja tu ambalo sina mashaka nalo hata kidogo ni uwezo, uadilifu, uzalendo wa kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa nchi yetu. Hili sina mashaka nalo hata kidogo na kama nina mashaka labda mambo mengine, lakini kwa hili sina mashaka hata kidogo Mheshimiwa Mwenyekiti.”

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...