Skip to main content

Zitto Kabwe aug’ang’ania urais 2015

NA THOBIAS MWANAKATWE

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, ameung’ang’ania urais kwa kusema kama urais upo utakuja tu na kwamba hana mashaka na uwezo, uadilifu, uzalendo wake pamoja na kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.


Zitto ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, ametoa kauli hiyo siku chache, baada gazeti moja (siyo NIPASHE) kuandika kuwa wabunge wawili wa Chadema wamemsafishia njia ya kugombea kiti hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Hata hivyo, juzi ikiwa ni siku moja baada ya kuchapishwa kwa habari hiyo, wabunge hao ambao ni Joshua Nassari (Arumeru Mashariki na Halima Mdee (Kawe) walitoa taarifa katika vyombo vya habari za kutoa kauli za kukanusha na kujiweka mbali na mpango wa kumpigia debe Zitto.
Zitto alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akichangia makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2012/13.
“Ndugu zangu wasanii, najua kuwa suala la tamasha la Kigoma limeleta maneno maneno kidogo ya kisiasa, lakini hayo ni maneno yatapita kwa sababu kama urais upo utakuja tu, kama haupo hautakuja, hata mtu afanye nini,” alisema na kuongeza:
“Muhimu ni kuhakikisha kuwa tunafanya kazi ya ziada kuitetea nchi yetu na jambo moja tu ambalo sina mashaka nalo hata kidogo ni uwezo, uadilifu, uzalendo wa kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa nchi yetu. Hili sina mashaka nalo hata kidogo na kama nina mashaka labda mambo mengine, lakini kwa hili sina mashaka hata kidogo Mheshimiwa Mwenyekiti.”

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.