Skip to main content

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii yatembelea NHIF jijini Dar JANA


 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii,Mh. Dk. Faustine Ndungulile akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo na viongozi wakuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakati kamati yake ilipofanya ziara katika makao makuu ya Shirika hilo yaliyopo Kurasini,jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Mh. Deogratius Mtukamazina  (kulia) akitoa salamu ya Bodi yake kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii iliyofanya ziara yale leo kwenye makao makuu ya Mfuko huo yenye lengo la kujifunza mambo mbali mbali yanayofanya na Mfuko huo.Wengine pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii,Mh. Dk. Faustine Ndungulile,Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Mh. Dk. Hussein Mwinyi,Naibu Waziri wa Afya, Dk. Sirra Umbwa,Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI),Mh. Majaliwa K. Majaliwa.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Mh. Dk. Hussein Mwinyi akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii iliyofanya ziara yale leo kwenye makao makuu ya Mfuko huo yenye lengo la kujifunza mambo mbali mbali yanayofanya na Mfuko huo.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini,Mh. Steven Ngonyani "Prof. Maji Marefu akisalimia wadau.
Mjumbe wa Kamati hiyo na Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk. Hamisi Kigwangalla nae akisalimia wadau.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Ndg. Emmanuel Humba akitoa maelezo mafupi kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii wakifuatia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa ukumbini hapo.
Wakurugenzi wa NHIF.
Wajumbe wa Bodi ya NHIF.
Meneja wa Idara ya Uanachama wa NHIF,Bi. Ellentruder Mbogoro akielekeza jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii walipotembelea makao makuu ya Mfuko huo,Kurasini jijini Dar es Salaam leo.
Afisa Nyaraka wa NHIF,Erastus Msigwa akiwaonyesha Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii moja ya mafaili ya Wanachama wa Mfuko huo yaliyohifadhiwa kwenye Masanduku ya Kisasa yanayotumia mfumo wa Umeme.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii wakipata maelezo ya namna ya uhifadhi wa Nyaraka kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Sehemu ya Masanduku hayo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...