Skip to main content

BAADA YA ABOUTRIKA NA MISRI: SASA NI VITA YA DROGBA NA DEMBA BA - SENEGAL VS IVORY COAST NANI KUIKOSA AFCON 2013?







Baada ya kufeli kuwepo kwenye michuano ya 2012 iliyofanyika Gabon na Equatorial Guinea, ambapo walishindwa kutetea ubingwa wa Africa, Egypt, timu iliyofanikiwa zaidi kwenye bara la Africa, pia itakosekana  kwa mara ya pili mfululizo kwenye African Cup of Nations.

Kutolewa kwa Mafarao hivi karibuni kwenye kuelekea AFCON 2013 kumestua wengi, huku kukiwa hakuna shabiki yoyote ambaye aliyekuwa akitegemea kwa mabingwa hao wa mara saba kutolewa na Afrika ya Kati ambao hawajawahi hata kushiriki kwenye michuano hiyo.

Egypt pembeni, kuna timu nyingine kubwa ambazo mashabiki wengi watapenda kuona wakishiriki kwenye michuano hiyo itakayofanyika Afrika Kusini mwakani January, lakini kwa hakika baadhi ya vigogo watashindwa kwenda Bondeni 2013.

Mpambano kati ya wacheza fainali wa 2012 Ivory Coast na magwiji wenzao wa soka wa Afrika Magharibi watapambana wenyewe kwa wenyewe na mmoja wao itabidi abaki kuangalia michuano hiyo kwenye TV, pia wapinzani wa kaskazini Algeria na Libya mmoja ataenda South Africa huku mwingine akibaki nyumbani.

Cameroon na Nigeria ambao wote walishindwa kuingia kwenye michuano ya 2012 ya AFCON, wanaonekana wameepuka balaa raundi hii kufuatia  kuwa wapinzani ambao sio wagumu sana - zikicheza na Liberia na Cape Verde.

Wakati Zambia na Ghana wamepewa kukipiga na Uganda na Malawi, Gabon wataumana na Togo, huku Sierra Lione wakipigana vita na Tunisia.

Mpaka sasa hakuna timu yoyote yenye uhakika wa asilimia 100 kwenda South Africa, tunaweza kuapata mishangao mingi zaidi tukiwa tunaelekea kwenye hatua ya mechi za kufuzu kwani lolote linaweza kutokea, lakini ikiwa Senegal watacheza AFCON 2012 basi ni dhahiri Tembo wa Afrika watabaki Abdijan kuangalia michuano hii kwenye TV kama akina Kaseja.Inatoka /www.shaffihdauda.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.