Skip to main content

BAADA YA ABOUTRIKA NA MISRI: SASA NI VITA YA DROGBA NA DEMBA BA - SENEGAL VS IVORY COAST NANI KUIKOSA AFCON 2013?







Baada ya kufeli kuwepo kwenye michuano ya 2012 iliyofanyika Gabon na Equatorial Guinea, ambapo walishindwa kutetea ubingwa wa Africa, Egypt, timu iliyofanikiwa zaidi kwenye bara la Africa, pia itakosekana  kwa mara ya pili mfululizo kwenye African Cup of Nations.

Kutolewa kwa Mafarao hivi karibuni kwenye kuelekea AFCON 2013 kumestua wengi, huku kukiwa hakuna shabiki yoyote ambaye aliyekuwa akitegemea kwa mabingwa hao wa mara saba kutolewa na Afrika ya Kati ambao hawajawahi hata kushiriki kwenye michuano hiyo.

Egypt pembeni, kuna timu nyingine kubwa ambazo mashabiki wengi watapenda kuona wakishiriki kwenye michuano hiyo itakayofanyika Afrika Kusini mwakani January, lakini kwa hakika baadhi ya vigogo watashindwa kwenda Bondeni 2013.

Mpambano kati ya wacheza fainali wa 2012 Ivory Coast na magwiji wenzao wa soka wa Afrika Magharibi watapambana wenyewe kwa wenyewe na mmoja wao itabidi abaki kuangalia michuano hiyo kwenye TV, pia wapinzani wa kaskazini Algeria na Libya mmoja ataenda South Africa huku mwingine akibaki nyumbani.

Cameroon na Nigeria ambao wote walishindwa kuingia kwenye michuano ya 2012 ya AFCON, wanaonekana wameepuka balaa raundi hii kufuatia  kuwa wapinzani ambao sio wagumu sana - zikicheza na Liberia na Cape Verde.

Wakati Zambia na Ghana wamepewa kukipiga na Uganda na Malawi, Gabon wataumana na Togo, huku Sierra Lione wakipigana vita na Tunisia.

Mpaka sasa hakuna timu yoyote yenye uhakika wa asilimia 100 kwenda South Africa, tunaweza kuapata mishangao mingi zaidi tukiwa tunaelekea kwenye hatua ya mechi za kufuzu kwani lolote linaweza kutokea, lakini ikiwa Senegal watacheza AFCON 2012 basi ni dhahiri Tembo wa Afrika watabaki Abdijan kuangalia michuano hii kwenye TV kama akina Kaseja.Inatoka /www.shaffihdauda.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...