Skip to main content

BRIGITTE NDIYE MISS SINZA 2012


Miss Sinza 2012, Brigitte Alfred, akiwa mwenye tabasamu kali la furaha baada ya kufanikiwa kuvikwa taji la Miss Sinza 2012 katika Shindano la Miss Sinza 2012 lilifanyika usiku wa kuamkia Juni 13,2012 katika Ukumbi wa Mawela Sinza Jijini Dar es Salaam. Brigitte mrembo aliyekuwa chaguo la wengi ukumbini hapo licha ya kuchuana vikali na mshindi wa pili na watatu aliwashinda warembo wengine 13 waliokuwa wakiwania taji hilo pamoja nae.

Miss Sinza 2012, Brigitte Alfred (katikati) akipunga mkono katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Judith Sangu (kushoto) na mrembo aliyeshika nafasi ya tatu Esther Mussa. Shindano la Miss Sinza 2012 lilifanyika usiku wa kuamkia Juni 13,2012 katika Ukumbi wa Mawela Sinza Jijini Dar es Salaam.

Miss Sinza Talent 2012, Maria John akikabidhiwa zawadi yake na Mkurugenzi wa SUFIANI MAFOTO BLOG.

Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora na kupata tiketi ya kushiriki Miss Kinondoni 2012 wakipozi kwa picha jukwaani. Kwa picha zaidi bofya hapa

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...