Skip to main content

HASHEEM THABEET AJIUNGA NA OKLAHOMA CITY THUNDER


Hasheem Thabeet, Mtanzania anayecheza mpira wa kikapu Marekani amesaini mkataba wa miaka 2 na timu ya Oklahoma City Thunder..!!!

Watanzania ni wakati sasa wa kujivunia mafanikio ya baadhi ya watanzania wanaofanya vizuri katika viwango vya kidunia, katika historia ya michezo tangu tupate uhuru ni Hasheem Thabeet pekee ndio ameweza kufanikiwa na kucheza ligi ya juu kabisa duniani katika michezo.

Wako watanzania wengi wamefanikiwa katika michezo mbali mbali na kufanikiwa kucheza katika ligi za michezo mbali mbali na katika nchi mbali mbali ila kila mchezo una ligi zake ambazo ni za kiwango cha juu juu kabisa ni yeye pekee ndio amweza kufanya hivyo kwa kufanikiwa kucheza mfululizo.

Hasheem amecheza timu za Memphis na baadae kucheza Houston Rockets na mwishoni mwa msimu uliopita alicheza Portland Trail Blazers. Katika timu ya Blazers alicheza michezo yote 16 liyokuwa imebaki kabla ya msimu kumalizika.
Hasheem kwa sasa ndio mwafrika mwenye kiwango cha juu kabisa miongoni mwa waafrika wanaocheza kikapu Marekani na ni mchezaji pekee anayecheza huko toka ukanda wa Afrika , Mashariki, Kati na Kusini.

Hasheem ni mchezaji wa Afrika ambaye ameingia NBA akiwa na kiwango cha juu kabisa katika historia ya mchezo huo, yaani No. 2 NBA Draft ya 2009.
Kwa Hasheem kuchukuliwa na timu kama Oklahoma City ambao ni mabingwa wa kanda ya magharibi ya NBA na mwaka huu walicheza fainali ya ubingwa wa NBA na kushindwa na Miami Heat, inaonyesha jinsi ambavyo bado mchezaji huyo anathaminiwa na bado uwezo mkubwa wa kuisaidia timu kubwa kama OKC ili iweze kufikia malengo yake.
Hivyo basi kwetu sisi Tanzania tunampongeza na kujivunia mafanikio hayo. Hasheem pia amekuwa ni mchezaji pekee wa kiwango cha juu ambaye amekuwa akirudisha fadhila nyumbani na kila anapopata mapumziko huwa anarudi nyumbani kuja kushirikiana na watanzania wenzake ili kuwainua na kuibua vipaji.
Kwa niaba ya shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania, natoa pongezi nyingi kwa Hasheem na tunamtakia kila heri na tumuombee kwa Mungu ili afanikiwe zaidi katika kikapu.
Mungu Mbariki Hasheem, Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.
Phares Magesa

Makamu wa Rais

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...