Skip to main content

MILOVAN ALALAMIKIA MAANDALIZI SIMBA



KOCHA Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic amesema kutolewa
mapema kwa timu yake katika michuano ya Kombe la Kagame
kumechangiwa na maandalizi hafifu.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya timu hiyo
kuchapwa mabao 3-1 na Azam juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar
es Salaam, kocha huyo alisema Simba haikufanya maandalizi ya
kutosha kabla ya kushiriki michuano hiyo.
Milovan alikiri kuwa kikosi chake bado dhaifu kutokana na
kuundwa na wachezaji wengi wapya na pia wachezaji wake bado
hawajaweza kucheza kwa uelewano mkubwa.
Alisema alishalibaini tatizo hilo kabla hata ya kuanza kwa
michuano ya Kombe la Kagame na alishawaeleza mapema
viongozi wa klabu hiyo.
“Bado sina kikosi kizuri, ambacho unaweza kujivunia wakati
unashiriki katika michuano migumu kama hii," alisema.
Milovan alisema licha ya timu yake kutwaa ubingwa wa Kombe la
Urafiki kwa kuifunga Azam kwa njia ya penalti, bado hajaweza
kuunda kikosi imara na chenye ushindani.
“Lazima timu ipate maandalizi ya kutosha kabla ya kushiriki
mashindano makubwa kama haya. Kwa muda, ambao Simba
imejiandaa, tusingeweza kufika mbali,”alisema.
Aliimwagia sifa Azam kwa kusema ni timu nzuri na wachezaji
wake wanacheza kwa uelewano mkubwa kutokana na kukaa
pamoja kwa muda mrefu.
Hata hivyo, kocha huyo alisema ataendelea kukiimarisha kikosi
chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa ligi na kuhakikisha
wanatetea taji lao. Ligi hiyo imepangwa kuanza Septemba mwaka
huu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...