Skip to main content

MILOVAN ALALAMIKIA MAANDALIZI SIMBA



KOCHA Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic amesema kutolewa
mapema kwa timu yake katika michuano ya Kombe la Kagame
kumechangiwa na maandalizi hafifu.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya timu hiyo
kuchapwa mabao 3-1 na Azam juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar
es Salaam, kocha huyo alisema Simba haikufanya maandalizi ya
kutosha kabla ya kushiriki michuano hiyo.
Milovan alikiri kuwa kikosi chake bado dhaifu kutokana na
kuundwa na wachezaji wengi wapya na pia wachezaji wake bado
hawajaweza kucheza kwa uelewano mkubwa.
Alisema alishalibaini tatizo hilo kabla hata ya kuanza kwa
michuano ya Kombe la Kagame na alishawaeleza mapema
viongozi wa klabu hiyo.
“Bado sina kikosi kizuri, ambacho unaweza kujivunia wakati
unashiriki katika michuano migumu kama hii," alisema.
Milovan alisema licha ya timu yake kutwaa ubingwa wa Kombe la
Urafiki kwa kuifunga Azam kwa njia ya penalti, bado hajaweza
kuunda kikosi imara na chenye ushindani.
“Lazima timu ipate maandalizi ya kutosha kabla ya kushiriki
mashindano makubwa kama haya. Kwa muda, ambao Simba
imejiandaa, tusingeweza kufika mbali,”alisema.
Aliimwagia sifa Azam kwa kusema ni timu nzuri na wachezaji
wake wanacheza kwa uelewano mkubwa kutokana na kukaa
pamoja kwa muda mrefu.
Hata hivyo, kocha huyo alisema ataendelea kukiimarisha kikosi
chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa ligi na kuhakikisha
wanatetea taji lao. Ligi hiyo imepangwa kuanza Septemba mwaka
huu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.