Skip to main content

Maisha Pulus Kuanza Tena

 





 

 

SHINDANO maalum lililotamba miaka nyuma la Maisha Plus, ambalo washiriki wake hukaa kwa miezi miwili kijijini, linatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kushirikiana na shirika la Oxfam Tanzania, kupitia program yake ya ‘Mama shujaa wa chakula’.

Akizungumza kwa jana, Kiongozi Mtendaji wa kampuni ya DMB, Masoud Ali ‘Masoud Kipanya’ alisema kuwa, shindano hilo la aina yake linakuja tena kwa msimu wa tatu, likiwa na utofauti kabisa, huku mambo mbalimbali yakiboreshwa, ikiwemo mshindi kuibuka na kitita cha sh milioni 20.

Kipanya alisema kuwa, kwa kushirikiana na wadhamini wakuu, Oxfam Tanzania, kupitia program yao ya ‘Mama shujaa wa chakula’, ambako watapata fursa ya kuwaweka wanawake kwenye shindano, kwa kukaa ndani ya jumba hilo la Maisha Plus huko kijijini kwa wiki mbili.

“Kwa kushirikiana na Oxfam, shindano hili tumeborsha na litakuwa la aina yake, ambapo washiriki watakaobahatika kushiriki, watafurahia na watajifunza mengi na safari hii Mama shujaa wa chakula nao watabahatika kukaa kwa wiki mbili, kisha watatoka na washiriki wa Maisha Plus kuendelea na kinyang’anyiro cha kuwania kitita hicho cha milioni 20,” alisema Kipanya.

Aidha, aliwataka vijana wa kitanzania, kuchangamkia fursa hiyo, ambako wanatarajia kuanza kufanya usaili mkoani Arusha, Agosti 3 na kisha kuendelea kwenye mikoa mingine 14, ikiwemo ya Bara na viswani Zanzibar.

Pia, alitoa wito kwa wadhamini wengine, kutumia nafasi hii kujitokeza ili kupata kutangaza, kwani shindano hilo licha ya kufanyika misimu miwili ya 2009 na 2010, huku 2011 likishindwa kufanyika kutokana na kukosa udhamini, limejizolea sifa na kupendwa na watu wa rika mbalimbali.
 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.