Skip to main content

Maisha Pulus Kuanza Tena

 





 

 

SHINDANO maalum lililotamba miaka nyuma la Maisha Plus, ambalo washiriki wake hukaa kwa miezi miwili kijijini, linatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kushirikiana na shirika la Oxfam Tanzania, kupitia program yake ya ‘Mama shujaa wa chakula’.

Akizungumza kwa jana, Kiongozi Mtendaji wa kampuni ya DMB, Masoud Ali ‘Masoud Kipanya’ alisema kuwa, shindano hilo la aina yake linakuja tena kwa msimu wa tatu, likiwa na utofauti kabisa, huku mambo mbalimbali yakiboreshwa, ikiwemo mshindi kuibuka na kitita cha sh milioni 20.

Kipanya alisema kuwa, kwa kushirikiana na wadhamini wakuu, Oxfam Tanzania, kupitia program yao ya ‘Mama shujaa wa chakula’, ambako watapata fursa ya kuwaweka wanawake kwenye shindano, kwa kukaa ndani ya jumba hilo la Maisha Plus huko kijijini kwa wiki mbili.

“Kwa kushirikiana na Oxfam, shindano hili tumeborsha na litakuwa la aina yake, ambapo washiriki watakaobahatika kushiriki, watafurahia na watajifunza mengi na safari hii Mama shujaa wa chakula nao watabahatika kukaa kwa wiki mbili, kisha watatoka na washiriki wa Maisha Plus kuendelea na kinyang’anyiro cha kuwania kitita hicho cha milioni 20,” alisema Kipanya.

Aidha, aliwataka vijana wa kitanzania, kuchangamkia fursa hiyo, ambako wanatarajia kuanza kufanya usaili mkoani Arusha, Agosti 3 na kisha kuendelea kwenye mikoa mingine 14, ikiwemo ya Bara na viswani Zanzibar.

Pia, alitoa wito kwa wadhamini wengine, kutumia nafasi hii kujitokeza ili kupata kutangaza, kwani shindano hilo licha ya kufanyika misimu miwili ya 2009 na 2010, huku 2011 likishindwa kufanyika kutokana na kukosa udhamini, limejizolea sifa na kupendwa na watu wa rika mbalimbali.
 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...