Skip to main content

Vituko VYa Marais Afrika; KIsa CHa Rais Mfupi wa LIberia


Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika.  Alipata kutamka  Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.   

Rais wa Liberia  Ellen Johnsson  yuko nchini mwetu kwa ziara ya Kiserikali. Ujio wake unanikumbusha kila nilichokisoma kuhusu Rais wa  Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye  ‘Nchi kijana’- Liberia.

Rais  Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU).

Rais  Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.

Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais  Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.

Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.
Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?

Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.

Kabla hajajibu swali, mara  akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais  wakawataka radhi wanahabari kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.

Rais  Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu  swali hata moja! 
Maggid Mjengwa,
Örebro, Sweden

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...