Skip to main content

Vituko VYa Marais Afrika; KIsa CHa Rais Mfupi wa LIberia


Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika.  Alipata kutamka  Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.   

Rais wa Liberia  Ellen Johnsson  yuko nchini mwetu kwa ziara ya Kiserikali. Ujio wake unanikumbusha kila nilichokisoma kuhusu Rais wa  Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye  ‘Nchi kijana’- Liberia.

Rais  Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU).

Rais  Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.

Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais  Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.

Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.
Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?

Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.

Kabla hajajibu swali, mara  akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais  wakawataka radhi wanahabari kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.

Rais  Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu  swali hata moja! 
Maggid Mjengwa,
Örebro, Sweden

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...