Skip to main content

Vituko VYa Marais Afrika; KIsa CHa Rais Mfupi wa LIberia


Ndugu zangu,
Afrika yetu ina mambo. ” Ex Africa simper aliquid novi”. Maana yake: “Kila kukicha kitazuka kioja kingine Afrika.  Alipata kutamka  Ptolemy, mwanafalsafa wa Kiyunani.   

Rais wa Liberia  Ellen Johnsson  yuko nchini mwetu kwa ziara ya Kiserikali. Ujio wake unanikumbusha kila nilichokisoma kuhusu Rais wa  Liberia aliyeitwa William Tubmann, huyu alitawala Liberia kutoka mwaka 1944 hadi 1964. Enzi hizo, alikuwa ni Rais ‘ Mzee wa Makamo’ kwenye  ‘Nchi kijana’- Liberia.

Rais  Tubmann alikuwa na vituko haswa. Moja ya vituko vyake ni pale alipokwenda kwa mara ya kwanza nchini Ethiopia kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU).

Rais  Tubmann alikuwa ni mwoga sana wa kupanda ndege. Basi, akafunga safari ya meli kutoka Monrovia, Liberia kwenda Ethiopia. Safari ilimchukua mwezi mzima. Akatua Ethiopia akiwa amechoka na kuwakuta Marais wenzake wa Afrika wanamsubiri.

Na akawa kivutio kikubwa pia kwa wanahabari. Lakini, Rais  Tubmann aliwaogopa sana wanahabari na maswali yao. Yasemekana katika Urais wake hakuwahi kujibu swali lolote gumu la mwanahabari.

Pale Ethiopia, akarushiwa swali kuhusu hali ya siasa nchini mwake. Rais akaliogopa swali na alikuwa na mbinu zake za kuyakwepa maswali.
Akiulizwa swali huchukua kiko chake na kuanza kuvuta. Na kinachotokea?

Kama pale Addis Ababa enzi hizo. Rais akalisikia swali, akachukua kiko chake huku wanahabari wakisubiri kwa hamu kubwa kusikia jibu la Rais. Naye akiwa amekaa kwenye kiti chake hotelini akavuta ‘ugolo’ wake kwenye kiko chake.

Kabla hajajibu swali, mara  akaanza kupiga chafya mfululizo. Akapiga chafya weee, mpaka machozi yakaanza kumtoka. Kila mmoja akamwonea huruma. Na wengine wakaangua vicheko. Wasaidizi wa Rais  wakawataka radhi wanahabari kumruhusu Mheshimiwa Rais akapumzike.

Rais  Tubmann akawa ametoka mahali hapo bila kujibu  swali hata moja! 
Maggid Mjengwa,
Örebro, Sweden

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.