Skip to main content

Somalia lazima imalize kipindi cha mpito

Rais Sheikh Sharif Ahmed na Waziri Mkuu Minister Abdiweli Mohamed Ali wa Somalia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema Somalia ni lazima imalize kipindi cha mpito katika tarehe iliyopangwa, huku likionyesha wasiwasi mkubwa kutokana na muda huo kuzidi kuelekea ukingoni.
Baraza hilo limeitaka serikali ya mpito pamoja na viongozi wa siasa nchini Somalia kuongeza juhudi na kutimiza matakwa yote yanayotakiwa kufikia tarehe 20 mwezi ujao (Agasti) ambao ndio muda wa mwisho uliopangwa.
Somalia imekuwa na serikali ya mpito tangu mwaka 2004 lakini haijapata serikali kamili tangu mwaka 1991. Baraza la usalama lilitangaza tarehe hiyo mwezi Februari na kutoa wito kwa pande zote kutimiza makubaliano hayo yenye lengo la kuimarisha hali ya usalama, kuunda serikali kuu, pamoja na kuandika katiba.
Baraza hilo limeukaribisha mkutano wa bunge uliofanyika jana. Bunge la Katiba la Somalia lilikutana mjini Mogadishu hapo jana baada ya kuwa limeahirishwa mara kadhaa huko nyuma.
Kikao cha kwanza cha Bunge
Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi, Abdullahi Osman, amesema kuwa wajumbe wote 825 walioteuliwa kupitisha katiba walihudhuria. Wengine waliohudhuria kikao cha jana ni Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, Waziri Mkuu Abdiweli Mohamed Ali na Spika Sheikh Sharif Hassan Aadan.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.