Skip to main content

Dk Migiro atoa waraka, asema kuondoka kwake UN ni mwanzo wa majukumu mapya nchini


Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
 DK Asha-Rose Migiro
Raymond Kaminyoge

ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro ambaye anarejea nchini leo ametoa waraka maalumu akisema mwisho wa utumishi wake katika umoja huo ni mwanzo utekelezaji wa majukumu mengine hapa nchini.
Kauli ya Dk Migiro imekuja kipindi ambacho jina lake limekuwa likitajwa katika nafasi ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete atakapomaliza muda wake wa kuongoza taifa mwaka 2015. Kabla ya kwenda UN, Dk Migiro alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Dk Migiro ambaye aliteuliwa na Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki-Moon kushika mwaka 2007 wadhifa huo, alisema anafurahi kumaliza miaka mitano kwa mafanikio.
Katika waraka huo ambao gazeti hili limeuona jana, Dk Migiro alisema: “Hakika, kila chenye mwanzo hakikosi mwisho na kila mwisho wa jambo moja huwa mwanzo wa jingine.”
Alisema ingawa ni mapema kwake kutoa tathmini halisi ya utendaji wake kazi, wadhifa huo katika Umoja wa Mataifa umempatia uzoefu mkubwa.
“Kukitumikia chombo hiki cha kimataifa kwa muda wa miaka mitano na nusu mfululizo ni heshima ya pekee ambayo daima nitaienzi kama kilele kimojawapo cha mafanikio katika maisha yangu ya utumishi wa umma. Kila siku niliyoitumia katika Umoja huo ilikuwa ni darasa la kusukuma mbele mipaka ya ujuzi na elimu,” alisema Dk Migiro.
Alisema amefahamu mambo mengi kuhusu umoja huo, dunia na watu wake ikiwamo ukomo wa umoja huo katika kushughulikia matatizo mbalimbali yanayoikabili dunia.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...