Skip to main content

MAKAMBA AMJIBU ZITTO KUHUSU ON MOBILE

NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia jana alimuumbua mbunge wa Kigoma Kaskazini Zuberi Zitto kuwa serikali ilishaisimamisha kampuni ya Onmobile kuendelea kufanya kazi toka mwezi Juni mwka huu.
Alisema serikali iliamua kuisimamisha kampuni hiyo kuendelea kufanya kazi baada ya kampuni hiyo kuandika barua ya kuomba leseni.
Makamba alisema baada ya serikali kuipokea barua hiyo tarehe 29 february mwaka huu iliijibu barua hiyobaada ya kubaini mapungufu mbalimbali katika maombi hayo.
Naibu huyo alisema baadhi ya mapungufu hayo ni pamoja na kampuni hiyo kutosajiliwa BRELA na kutoa mchanganuo wa kibishara.
Hata hivyo, alisema baada ya serikali kugundua kuwa pamoja na kuomba leseni pia kampuni hiyo ilikuwa ikiendelea kufanya kazi kupitia kampuni za Vodacom na Airtel
Alisema hivyo hoja iliyotolewa na Zitto kuwa kampuni hiyo inafanya kazi bila leseni ilishagunduliwa na serikali na kuchukuliwa kwa hatua.
Akizungumzia kuhusiana na wizi wa kazi za wasanii, Makamba alisema serikali haitakubali kuona wasanii hao wanaibiwa kazi zao.
Alisema vita dhidi ya wizi wa kazi hizo ilianza toka mika ya 2009 ambako Rais Jakaya Kikwete alitoa jumla ya sh .milioni 16 kutoka kwenye mfuko wa Rais kwa ajili ya kumlipa mshauri mwelekezi kushauri TRA kuweka stika katika kazi za wasanii hao.
Naibu huyo alisema kabla ya kuondoka katika Ofisi ya Rais, yeye ndiye aliyetumwa na Rais kwenda kuonana na watalaamu mbalimbali ili kuangalia uwezekano wa kusaidia wasanii hao.
“Hivyo vita hii ilianza na Mheshimiwa Rais Mwenyewe na alinituma mimi nikaenda sehemu mbalimbali na tulifanya vikao na wasanii nikiwa mwenyekiti kujadiri maslahi yao’’
“Pia Rais Kikwete ndiye Rais wa kwanza ambaye aliwashirikisha wasanii wa Bongo Fleva na hata katika kampeni zake za uchaguzi Mkuu wa Rais mwka 2009’’
Makamba alisema ni haki ya msanii kulipwa mrahaba kwa kila wimbo wake unapotumiwa na kamapuni ya simu au hata redio.
Alisema serikali itaendelea kuwapigania wasanii hao pale makampuni ya simu yanapotumia nyimbo zao kwani ni haki yao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...