Skip to main content

MAKAMBA AMJIBU ZITTO KUHUSU ON MOBILE

NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia jana alimuumbua mbunge wa Kigoma Kaskazini Zuberi Zitto kuwa serikali ilishaisimamisha kampuni ya Onmobile kuendelea kufanya kazi toka mwezi Juni mwka huu.
Alisema serikali iliamua kuisimamisha kampuni hiyo kuendelea kufanya kazi baada ya kampuni hiyo kuandika barua ya kuomba leseni.
Makamba alisema baada ya serikali kuipokea barua hiyo tarehe 29 february mwaka huu iliijibu barua hiyobaada ya kubaini mapungufu mbalimbali katika maombi hayo.
Naibu huyo alisema baadhi ya mapungufu hayo ni pamoja na kampuni hiyo kutosajiliwa BRELA na kutoa mchanganuo wa kibishara.
Hata hivyo, alisema baada ya serikali kugundua kuwa pamoja na kuomba leseni pia kampuni hiyo ilikuwa ikiendelea kufanya kazi kupitia kampuni za Vodacom na Airtel
Alisema hivyo hoja iliyotolewa na Zitto kuwa kampuni hiyo inafanya kazi bila leseni ilishagunduliwa na serikali na kuchukuliwa kwa hatua.
Akizungumzia kuhusiana na wizi wa kazi za wasanii, Makamba alisema serikali haitakubali kuona wasanii hao wanaibiwa kazi zao.
Alisema vita dhidi ya wizi wa kazi hizo ilianza toka mika ya 2009 ambako Rais Jakaya Kikwete alitoa jumla ya sh .milioni 16 kutoka kwenye mfuko wa Rais kwa ajili ya kumlipa mshauri mwelekezi kushauri TRA kuweka stika katika kazi za wasanii hao.
Naibu huyo alisema kabla ya kuondoka katika Ofisi ya Rais, yeye ndiye aliyetumwa na Rais kwenda kuonana na watalaamu mbalimbali ili kuangalia uwezekano wa kusaidia wasanii hao.
“Hivyo vita hii ilianza na Mheshimiwa Rais Mwenyewe na alinituma mimi nikaenda sehemu mbalimbali na tulifanya vikao na wasanii nikiwa mwenyekiti kujadiri maslahi yao’’
“Pia Rais Kikwete ndiye Rais wa kwanza ambaye aliwashirikisha wasanii wa Bongo Fleva na hata katika kampeni zake za uchaguzi Mkuu wa Rais mwka 2009’’
Makamba alisema ni haki ya msanii kulipwa mrahaba kwa kila wimbo wake unapotumiwa na kamapuni ya simu au hata redio.
Alisema serikali itaendelea kuwapigania wasanii hao pale makampuni ya simu yanapotumia nyimbo zao kwani ni haki yao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.