Skip to main content

Stars yajipanga Kutoa Dozi kwa kuikabili Gambia J'pili


Mrisho Ngassa  ambaye ni mshambilizi wa Taifa Stars akimtoka beki wa Ivory Coast, Siaka Tiene wakati wa mechi ya kusaka kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Dunia iliyofanyika kwenye uwanja wa Felix Houphouet-Boigny, mjini Abidjan juzi ambapo Stars ilifungwa mabao 2-0.

Comments