Skip to main content

KWA NINI NIGERIA WAFANIKIWE NA SIO EAST AFRICA?



Unapomuuliza mtu yeyote hapa East Africa kama anaifahamu Nigeria,pasi na shaka yeyote atakujiubu ndio.
Na unapomuuliza anaifahamu vipi Nigeria?,atakujibu anafahamu movies zao,muziki wao,na hata upande wa mpira wa miguu anafahamu. Hii ni kwa nini?
Nigeria kwa muda sasa wanaonekana kukamata akili nyingi za wana-East Africa kwa sababu ya movies zao na hata muziki wao. Kwa upande wa mpira wa miguu wanaonekana kushuka kwa sasa,ukilinganisha zamani.
Ukiwataja wasanii wa muziki kama 2face,D'banj na P'square hayo ndio majina yanayooneka kushika masikio ya wana-East Africa. Ingawa kwa sasa kuna msanii mwingine anaitwa Mr. Flava naye anaonekana kuchukua nafasi.
KWA NINI TANZANIA,KENYA,UGANDA,BURUNDI NA RWANDA HATU SHINE KAMA NIGERIA?
Je kuna tatizo lolote katika aina ya muziki wetu au movies zetu?Ingawa Kenya wanaonekana kung'ara katika mchezo wa riadha. Lakini mchezo wa riadha sio aina ya mchezo unaopendwa sana kama mpira wa miguu.
Kwa sasa hivi muziki wetu unaonekana kuishia hapa hapa tu. Hata soko la movies zetu linaishia hapa hapa tu.
Je tatizo ni lugha,kuwa tunatumia sana kiswahili na wenzetu wanatumia kingereza?
 Nilipata nafasi ya kuongea na mkenya mmoja ambaye kwa mawazo yake,aliniambia Tanzania movie industry yake ni nzuri sana lakini tatizo ni lugha,kuwa kiswahili kinatumika sana. Na alisema ili movie za Tanzania zipate soko nje ya Tanzania inapaswa English ichukue nafasi.
Bongo Fleva,Genge,Kapuka,vipi mbona hatuvuki boda?
Yuko wapi Lady Jaydee,Nonini,Kidumu,Juacali,Chegge,Joh Makini?

Kwa nini Hasheem Thabeet pekee ndiye alifanikiwa kwenda level; ya NBA?
Tumeshuhudia Nigeria ikifanikiwa kwa upande wa movie na inasemekana baada ya Hollywood na Bollywood inayofuatia ni Nollywood. Hata katika soko la muziki Nigeria wapo juu na ilishuhudiwa mwaka huu D'banj na 2face wakichukua tuzo za BET MUSIC AWARDS katika category ya international artists.
Kwa upande wa football wapo kina Mikel Obi wa Chelsea na wengine kadhaa. Ingawa yupo Mariga kutoka Kenya wa Inter Millan.
 

                                                  I WISH EAST AFRICA TO MOVE ON!!.
Inatoka kwa mdau

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...