Skip to main content

KWA NINI NIGERIA WAFANIKIWE NA SIO EAST AFRICA?



Unapomuuliza mtu yeyote hapa East Africa kama anaifahamu Nigeria,pasi na shaka yeyote atakujiubu ndio.
Na unapomuuliza anaifahamu vipi Nigeria?,atakujibu anafahamu movies zao,muziki wao,na hata upande wa mpira wa miguu anafahamu. Hii ni kwa nini?
Nigeria kwa muda sasa wanaonekana kukamata akili nyingi za wana-East Africa kwa sababu ya movies zao na hata muziki wao. Kwa upande wa mpira wa miguu wanaonekana kushuka kwa sasa,ukilinganisha zamani.
Ukiwataja wasanii wa muziki kama 2face,D'banj na P'square hayo ndio majina yanayooneka kushika masikio ya wana-East Africa. Ingawa kwa sasa kuna msanii mwingine anaitwa Mr. Flava naye anaonekana kuchukua nafasi.
KWA NINI TANZANIA,KENYA,UGANDA,BURUNDI NA RWANDA HATU SHINE KAMA NIGERIA?
Je kuna tatizo lolote katika aina ya muziki wetu au movies zetu?Ingawa Kenya wanaonekana kung'ara katika mchezo wa riadha. Lakini mchezo wa riadha sio aina ya mchezo unaopendwa sana kama mpira wa miguu.
Kwa sasa hivi muziki wetu unaonekana kuishia hapa hapa tu. Hata soko la movies zetu linaishia hapa hapa tu.
Je tatizo ni lugha,kuwa tunatumia sana kiswahili na wenzetu wanatumia kingereza?
 Nilipata nafasi ya kuongea na mkenya mmoja ambaye kwa mawazo yake,aliniambia Tanzania movie industry yake ni nzuri sana lakini tatizo ni lugha,kuwa kiswahili kinatumika sana. Na alisema ili movie za Tanzania zipate soko nje ya Tanzania inapaswa English ichukue nafasi.
Bongo Fleva,Genge,Kapuka,vipi mbona hatuvuki boda?
Yuko wapi Lady Jaydee,Nonini,Kidumu,Juacali,Chegge,Joh Makini?

Kwa nini Hasheem Thabeet pekee ndiye alifanikiwa kwenda level; ya NBA?
Tumeshuhudia Nigeria ikifanikiwa kwa upande wa movie na inasemekana baada ya Hollywood na Bollywood inayofuatia ni Nollywood. Hata katika soko la muziki Nigeria wapo juu na ilishuhudiwa mwaka huu D'banj na 2face wakichukua tuzo za BET MUSIC AWARDS katika category ya international artists.
Kwa upande wa football wapo kina Mikel Obi wa Chelsea na wengine kadhaa. Ingawa yupo Mariga kutoka Kenya wa Inter Millan.
 

                                                  I WISH EAST AFRICA TO MOVE ON!!.
Inatoka kwa mdau

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.