Skip to main content

MAMIA WAJITOKEZA KUUAGA HATIMAYE MAZISHI MWILI WA OSWARD MCHOPA


Mwili wa aliyekuwa Katibu msaidizi wa Chama cha Mpira wa miguu wilaya ya Nyamagana (NDFA) marehemu Osward Mchopa umeagwa leo katika viwanja vya Nyamagana na mamia ya wananchi pamoja na wanamichezo ikiwemo viongozi wa serikali na wadau wa michezo jijini Mwanza.
Wa pili kutoka kulia ni mke wa marehemu akiwa na ndugu pamoja na viongozi wa kanisa.

Mbele kabisa ameketi diwani wa kata ya Nyamagana Bihku Kotecha kweye jukwaa kuu na wahudhuriaji heshima za mwisho kwa mdau huyo wa soka mkoani Mwanza.

Sehemu ya Umma:- Marehemu Mchopa alizaliwa mwaka 1958 wilayani Newala mkoani Mtwara, akiwa mtoto wa nne katika familia ya Mzee Simon Mchopa ambaye alianza maisha ya soka wilayani Tunduru aliichezea timu ya Kampuni iliyotwaa ubingwa.

Wadau wa michezo toka kona na kona wakifuatilia yanayojiri viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza leo:- Kwa mujibu wa historia mnamo mwaka 1982 marehemu aliajiliwa kama afisa Utamaduni daraja la tatu na Halmashauri ya Manispaa ya Mwanza ambayo sasa ni jiji na Mwaka 1994 alipunguzwa kazi na kujikita kufundisha Vijana walio na Umri chini ya miaka 14katika uwanja mkongwe wa Nyamagana hadi mauti yakimkuta alikuwa akifundisha timu mbalimbali jijini hapa.

Afisa Idara ya elimu jijini Mwanza akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu.

Wadau mbalimbali toka sehemu na sehemu wamefulika viwanjani hapa kuuaga mwili wa marehemu:- Wakati wa uhai wake marehemu aliwahi kuzichezea timu za Manispaa ya Mwanza, Lumumba Rovers na ni mmoja kati ya makocha waliohudhuria mafunzo ya ukocha hatimaye kupewa dhamana ya kufundisha timu za Copa Coca cola, Mwanza Heros na timu ya vijana wadogo ya Toto Afrika jijini Mwanza. 

Mwenye shati jeusi ni Khalfani Ngassa (baba yake na Mrisho Ngassa) mbele yake akiwa ameambatana na Venancy  Kazungu wote wakiwa ni wachezaji wa zamani wa Pamba na timu ya mkoa wa Mwanza  wakiwa kwenye mstari kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mchopa.

Mwenyekiti wa Chama cha soka mkoani Mwanza (mwenye t-shirt nyeupe) akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu.

Kamati ya mazishi kutoka kulia ni mweka hazina wa Chama cha soka mkoani Mwanza (MZFA)Ezrael Mtambalike, Katibu wa MZFA Mabrouk, mdau wa Soka Mr. george, Katibu mkuu wilaya ya Nyamagana Munga Mpindo na mkufunzi wa soka Nyamagana. 
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa malaria na kifua hali iliyopelekea kuzidiwa na kupelekwa hospitali ya Sekoutoure kabla ya hali kuwa mbaya  mnamo saa 6:00 usiku wa tarehe 16 juni 2012 alipoaga dunia. Marehemu amezikwa leo alasili katika makaburi ya Nyashana jijini Mwanza.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.