Skip to main content

Kongamano la "jukwaa" la vyombo vya habari laanza


"Die Fotos sind von der afghanischen Bilder-Agentur AEP in unserem Auftrag gemacht worden. Alle Rechte gehören der DW. Der Vertrag mit dieser Agentur ist mit Frau Peschel besprochen worden."

Afghans school graduates attended at exam in Kabul capital of Afghanistan on Monday, February 20, 2012. the first phase of university entry test was held in Kabul and over 12,000 graduates including 5,500 girls took part to find their way for higher education,” Deputy Minister for High Education on student affairs, Barai Siddiqi, said (photo by Amiri)
Kongamano linalojulikana kama Global Media Forum ambalo linawaleta pamoja wataalamu kutoka vyombo vya habari, wanasayansi na wanasiasa, limeanza leo Jumatatu (Juni 25 hadi 27 ) katika jengo la Deutsche Welle mjini Bonn

" Elimu bado ni mada kuu katika suala zima la utandawazi," alitamka hayo Mkurugenzi mkuu wa Deutsche Welle, Erik Bettermann. Jinsi gani " Elimu kwa wote" lilivyo jambo muhimu, ndiyo suala kuu la majadiliano ya siku tatu miongoni mwa wataalamu kutoka vyombo vya habari, wanasayansi na wanasiasa kuanzia Jumatatu (Juni 25 hadi 27 ) katika kongamano linalojulikana kama Global Media Forum katika jengo la Deutsche Welle mjini Bonn." Habari na elimu ndiyo msingi wa harakati za chombo cha matangazo ya kigeni cha Ujerumani", anasema Mhariri mkuu wa DW, Ute Schaeffer.

Kwa mujibu wa idadi rasmi ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa mataifa, kiasi ya watu 800 milioni hawajui kusoma na kuandika.Wakati huo huo, inaelekea Ulimwengu ni jamii ya habari, ambayo kwa mujibu wa Erik Bettermann,hutupa nafasi ya kupata maarifa kila wakati na popote tulipo.
Vyombo vya habari kutoa mwangaza

Ni kwa sababu hii hasa, vyombo vya habari kote duniani vinawajibu. " Vina jukumu muhimu kama chombo cha kutoa muwangaza ", anasisitiza Mkurugenzi mkuu wa DW. Kwa watu wa tabaka mbali mbali katika Dunia ya utandawazi, elimu, utamaduni na elimu kwa wote, yanaweza kuwa ni ufunguo wa kuweza kuishi pamoja kwa amani, kwa maendeleo na majadiliano baina ya watu wa tamaduni mbali mbali.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.