Skip to main content

Kongamano la "jukwaa" la vyombo vya habari laanza


"Die Fotos sind von der afghanischen Bilder-Agentur AEP in unserem Auftrag gemacht worden. Alle Rechte gehören der DW. Der Vertrag mit dieser Agentur ist mit Frau Peschel besprochen worden."

Afghans school graduates attended at exam in Kabul capital of Afghanistan on Monday, February 20, 2012. the first phase of university entry test was held in Kabul and over 12,000 graduates including 5,500 girls took part to find their way for higher education,” Deputy Minister for High Education on student affairs, Barai Siddiqi, said (photo by Amiri)
Kongamano linalojulikana kama Global Media Forum ambalo linawaleta pamoja wataalamu kutoka vyombo vya habari, wanasayansi na wanasiasa, limeanza leo Jumatatu (Juni 25 hadi 27 ) katika jengo la Deutsche Welle mjini Bonn

" Elimu bado ni mada kuu katika suala zima la utandawazi," alitamka hayo Mkurugenzi mkuu wa Deutsche Welle, Erik Bettermann. Jinsi gani " Elimu kwa wote" lilivyo jambo muhimu, ndiyo suala kuu la majadiliano ya siku tatu miongoni mwa wataalamu kutoka vyombo vya habari, wanasayansi na wanasiasa kuanzia Jumatatu (Juni 25 hadi 27 ) katika kongamano linalojulikana kama Global Media Forum katika jengo la Deutsche Welle mjini Bonn." Habari na elimu ndiyo msingi wa harakati za chombo cha matangazo ya kigeni cha Ujerumani", anasema Mhariri mkuu wa DW, Ute Schaeffer.

Kwa mujibu wa idadi rasmi ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa mataifa, kiasi ya watu 800 milioni hawajui kusoma na kuandika.Wakati huo huo, inaelekea Ulimwengu ni jamii ya habari, ambayo kwa mujibu wa Erik Bettermann,hutupa nafasi ya kupata maarifa kila wakati na popote tulipo.
Vyombo vya habari kutoa mwangaza

Ni kwa sababu hii hasa, vyombo vya habari kote duniani vinawajibu. " Vina jukumu muhimu kama chombo cha kutoa muwangaza ", anasisitiza Mkurugenzi mkuu wa DW. Kwa watu wa tabaka mbali mbali katika Dunia ya utandawazi, elimu, utamaduni na elimu kwa wote, yanaweza kuwa ni ufunguo wa kuweza kuishi pamoja kwa amani, kwa maendeleo na majadiliano baina ya watu wa tamaduni mbali mbali.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...