Skip to main content

CRDB Yaongeza Mikopo Kwa Wateja Wake



Na Ashura Mohamed na Gladness Mushi wa Fullshangwe-Arusha

BENKI ya CRDB imefanikiwa kuongeza utoaji wa mikopo yake kwa
asilimia 27, kufikia shilingi bilioni 1.4 kutoka shilingi bilioni
1.1 mwaka 2010.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB nchini, Dk.
Charles Kimei, wakati alipokuwa akizungumza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa kumi na saba wa wanahisa wa benki hiyo uliofanyika Jijini Arusha.
Aidha sekta ya kilimo imeongoza kwa kuchangia asilimia 30 ya mikopo
yote iliyotolewa na benki hiyo, huku ikifuatiwa na biashara na
viwanda kwa asilimia 14.
Pia alizitaja sekta zingine ambazo zimechangia ukuaji wa mikopo hiyo kuwa ni

Mikopo binafsi asilimia 12, Utalii, hoteli na migahawa asilimia 8, wakala wa masuala ya
kifedha asilimia 7,upangishaji majengo na ujenzi 6, mawasiliano na
uchukuzi kila moja asilimia 7. huduma za kijamii 6, uzalishaji na
usindikaji 3 na uchimbaji wa madini na kokoto asilimia 1.
Lakini hata hivyo alisema ukuaji huo umechangiwa na chapa ya Benki , ambayo imeendelea kuboreshwa kwa kampeni za masoko, kuanzishwa na kubuniwa kwa bidhaa na huduma mpya,kukua na kusambaa kwa njia za utoaji huduma.

Pia alisema pamoja na changamoto za uchumi zilizoikumba biashara na Benki,utendaji katika maeneo mengi umekuwa wa kuridhisha, kwa kuongeza ukopeshaji ambapo waliweza kuongeza pato lake la riba huku ikipunguza gharama za riba, kiasi cha kuzalisha pato halisi la riba la shilingi bilioni 157.4 ikilinganishwa na shilingi bilioni 125 kw amwaka uliopita.

Dk. Kimei alisema kuwa benki yao imejikita zaidi katika uwekezaji
katika jamii na udhamini kwa kutazama vipaumbele vya jamii, ambavyo ni
elimu, afya na mazingira huku nguvu kubwa ikielkezwa katika makundi
yaliyosahauliwa katika jamii na kuchangia wahanga wa majanga
yaliyoikumba nchi ndani ya mwaka 2010.

Alisema benki hiyo hadi kufikia sasa, wana mtandao wa matawi 82 ikiwa
pamoja na matawi yanayotembea, kwa angalau tawi moja, katika kila Mkoa
nchi nzima na wana mtandao (Internet) wa huduma za benki, ambazo
zinawafikia wateja 20,000 na huduma inayokua haraka kupitia simu ya
mkononi ikiwa na zaidi ya wateja 30,000, kufikia mwishoni mwa Desemba
2011

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...