Skip to main content

CRDB Yaongeza Mikopo Kwa Wateja Wake



Na Ashura Mohamed na Gladness Mushi wa Fullshangwe-Arusha

BENKI ya CRDB imefanikiwa kuongeza utoaji wa mikopo yake kwa
asilimia 27, kufikia shilingi bilioni 1.4 kutoka shilingi bilioni
1.1 mwaka 2010.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB nchini, Dk.
Charles Kimei, wakati alipokuwa akizungumza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa kumi na saba wa wanahisa wa benki hiyo uliofanyika Jijini Arusha.
Aidha sekta ya kilimo imeongoza kwa kuchangia asilimia 30 ya mikopo
yote iliyotolewa na benki hiyo, huku ikifuatiwa na biashara na
viwanda kwa asilimia 14.
Pia alizitaja sekta zingine ambazo zimechangia ukuaji wa mikopo hiyo kuwa ni

Mikopo binafsi asilimia 12, Utalii, hoteli na migahawa asilimia 8, wakala wa masuala ya
kifedha asilimia 7,upangishaji majengo na ujenzi 6, mawasiliano na
uchukuzi kila moja asilimia 7. huduma za kijamii 6, uzalishaji na
usindikaji 3 na uchimbaji wa madini na kokoto asilimia 1.
Lakini hata hivyo alisema ukuaji huo umechangiwa na chapa ya Benki , ambayo imeendelea kuboreshwa kwa kampeni za masoko, kuanzishwa na kubuniwa kwa bidhaa na huduma mpya,kukua na kusambaa kwa njia za utoaji huduma.

Pia alisema pamoja na changamoto za uchumi zilizoikumba biashara na Benki,utendaji katika maeneo mengi umekuwa wa kuridhisha, kwa kuongeza ukopeshaji ambapo waliweza kuongeza pato lake la riba huku ikipunguza gharama za riba, kiasi cha kuzalisha pato halisi la riba la shilingi bilioni 157.4 ikilinganishwa na shilingi bilioni 125 kw amwaka uliopita.

Dk. Kimei alisema kuwa benki yao imejikita zaidi katika uwekezaji
katika jamii na udhamini kwa kutazama vipaumbele vya jamii, ambavyo ni
elimu, afya na mazingira huku nguvu kubwa ikielkezwa katika makundi
yaliyosahauliwa katika jamii na kuchangia wahanga wa majanga
yaliyoikumba nchi ndani ya mwaka 2010.

Alisema benki hiyo hadi kufikia sasa, wana mtandao wa matawi 82 ikiwa
pamoja na matawi yanayotembea, kwa angalau tawi moja, katika kila Mkoa
nchi nzima na wana mtandao (Internet) wa huduma za benki, ambazo
zinawafikia wateja 20,000 na huduma inayokua haraka kupitia simu ya
mkononi ikiwa na zaidi ya wateja 30,000, kufikia mwishoni mwa Desemba
2011

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.