Skip to main content

Serikali Kukuza Ubia Baina ya Sekta ya Umma na Binafsi


Na Othman Khamis Ame

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kujenga misingi imara ya kukuza ubia baina ya Sekta ya Umma na ile Binafsi ili kuwajengea uwezo Wazanzibari kushiriki kikamilifu katika shughuli za Kiuchumi Nchini.

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifuatilia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar iliyowasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mh. Mohamed Aboud Mohamed kwa mwaka 2012/2013 katika Kikao cha Baraza hilo kinachoendela huko Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Mohamed Aboud Mohamed ameeleza hayo wakati akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kwa Mwaka wa fedha wa 2012/2013 katika Kikao cha Baraza la Wawakilishi kinachoendelea kwenye ukumbi wa Baraza hilo hapo Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Mh. Aboud alisema misingi hiyo { Public –Private Partnership } itakwenda sambamba na Sekta Binafsi kuwekeza kwenye Miradi mbali mbali ya Maendeleo ya Kiuchumi na Utoaji wa Huduma.

Waziri Aboud alifahamisha kwamba Sekta Binafsi ni kichocheo kikubwa cha ukuaji wa Uchumi wa Taifa, hivyo kupitia uwekezaji wa Sekta hiyo Nchi itakuwa na fursa kubwa ya kuongeza Pato la Taifa pamoja na ajira kwa Vijana.

Mh. Aboud alieleza kwamba katika kuweka mazingira mazuri ya kukuza fursa za uwekezaji, Serikali kwa kushirikiana na Wahisani tofauti itaimarisha zaidi miundo mbinu ili kutanua wigo wa eneo hilo muhimu.

Aliitaja miundo mbinu hiyo kuwa ni pamoja na Umeme, Bara bara, Bandari ikiwemo ujenzi wa njia ya pili ya Umeme kutoka Ubungo Dar es salaam hadi Mtoni Unguja.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.