Skip to main content

Jalada lakwamisha kesi ya Lulu


MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Kisutu Dar es Salaam jana ilishindwa kuendelea kusikiliza kesi ya tuhuma za mauaji inayomkabili msanii nyota wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu' kutokana na kutokuwepo kwa jalada halisi la kesi yake.
Lulu (17) alifikishwa katika mahakama hiyo kama kawaida, lakini hakupandishwa kizimbani kutokana na jalada la kesi hiyo kupelekwa Mahakama Kuu.
Msanii huyo aliwakilishwa mahakamani hapo na wakili wake, Peter Kibatala anayemtetea.
Wakili wa serikali, Keneth Sekwao alidai kesi hiyo ilifikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa na upelelezi bado haujakamilika, ambapo aliomba ipangwe tarehe nyingine ya kutajwa.
Kufuatia ombi hilo, Hakimu Mkazi Augustina Mmbando anayesikiliza kesi hiyo, alisema itatajwa tena Julai 2 mwaka huu.
Lulu alifikishwa mahakama hapo saa tatu asubuhi akiwa katika gari la magereza. Ilipofika saa nne, Lulu aliondolewa mahakamani hapo akiwa katika gari la magereza na kuwaacha hoi waandishi wa habari waliokuwa wakimsubiri ili waweze kumpiga picha.
Habari za kuaminika zilizopatikana mahakamani hapo zilidai kuwa, baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, kutoa uamuzi wa kuchunguza umri wa Lulu, kila kitu kilisimamishwa kwa vile jalada halisi halipo.
Kwa mujibu wa habari hizo, kabla ya uamuzi wa Mahakama Kuu kutolewa, kesi hiyo ilipangazwa kutajwa jana na kwamba kwa kawaida, baada ya uamuzi huo, Jaji anayesikiliza maombi ya uchunguzi wa umri wa msanii huyo alipaswa kumwandikia barua Hakimu Augustina ili kumweleza kuhusu kusimamishwa kwa kesi hiyo mahakamani hapo.
Habari hizo ziliendelea kudai kuwa, hakimu anayesikiliza kesi hiyo alipaswa kupewa nakala ya uamuzi huo na kwamba mshitakiwa hakupaswa kufikishwa mahakamani hadi uamuzi kuhusu utata wa umri utakapotolewa.
Jaji Fauz Twaib wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam anatarajia kutoa uamuzi kuhusu utata huo wa umri Juni 25 mwaka huu.
Awali, Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu ilikataa ombi la upande wa utetezi la kutaka ufanywe uchunguzi kuhusu umri sahihi wa Lulu.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, Lulu anadaiwa kuwa Aprili 7 mwaka huu, eneo la Sinza Vatican, Dar es Salaam, alimuua msanii mwenzake, Steven Kanumba.
Marehemu Kanumba alizikwa Aprili 10, mwaka huu kwenye makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam katika mazishi, ambayo yalihudhuriwa na maelfu ya watu, wakiwemo viongozi wa serikali. Inatoka kwa  mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.