Skip to main content

LULU: Nilidanganya umri kuipa hadhi filamu



MAMA mzazi wa msanii wa filamu Elizabeth Michael 'Lulu', Lucresia Kalugila, amedai kitendo cha mwanawe kutamka mbele ya umma kwamba ana umri wa zaidi ya miaka 18, kililenga kuipa hadhi filamu yake.
Alidai pia kwamba mtoto huyo, alifanya hivyo ili kuepuka unyanyapaa ambao ulikuwa ukifanywa dhidi yake na wasanii wenzake katika sanaa ya filamu wakimwelezea kuwa ni mtoto.
Lucresia alidai hayo kupitia hati ya kiapo majibu aliyoiwasilisha Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, akikana mwanae kuwa na umri wa zaidi ya miaka 18.
Hati hiyo ya majibu iliwasilishwa jana mahakamani hapo, mbele ya Jaji Dk. Fauz Twaib na mawakili Kenneth Fungamtama, Peter Kibatala na Flugence Massawe, wanaomwakilisha Lulu.
Mawakili hao waliwasilisha hati hiyo ya majibu baada ya Jamhuri kuwasilisha ushahidi wa CD ya mahojiano ya Lulu na mtangazaji Zamaradi Mketema, maelezo yake aliyoyatoa polisi, maombi ya hati ya kusafiria na leseni ya udereva.
Katika ushahidi huo wa Jamhuri inaonekana muombaji (Lulu) wa kufanyiwa uchunguzi kuhusu utata wa umri wake akisema ana miaka zaidi ya 18.
Kwa mujibu wa hati ya majibu ya mzazi wake Lulu, ameapa kwamba mwanae majina yake ni Elizabeth Michael Kimemeta na Diana Elizabeth Michael Kimemeta na siyo Diana Michael Kimemeta.
Mama huyo, pia amedai kuwa alimuliza Lulu sababu za kusema ana umri zaidi ya miaka 18 wakati si kweli ambapo alimjibu alifanya hivyo ili kuweza kuipa hadhi filamu yake.
Akifafanua, alidai Lucresia anaamini kwamba kama mwanawe angepewa msaada wa kisheria pamoja na wa wawazi kuwepo wakati akihojiwa polisi akiwa katika wakati mgumu na mwenye msongo wa mawazo, angeweza kusema umri wake sahihi ambao ni miaka 17.
Mama huyo amedai kwamba anaamini kuwa Lulu kutokana utoto wake, alitoa matamko ya uongo ili aweze kupata hati ya kusafiria la leseni ya udereva na kwamba si kweli amezaliwa Aprili 17, mwaka 1991 kama alivyoeleza. Amedai angekuwa kazaliwa tarehe hiyo angekuwa na miaka 21 kitu ambacho si kweli.
Lulu anayekabiliwa na kesi hiyo, iliyopo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, aliwasilisha maombi katika Mahakama Kuu ya kufanywa uchunguzi wa umri wake.
Jaji Dk. Twaib amepanga kusikiliza maombi hayo baada ya pande zote kuwasilisha ushahidi wao, Jumatatu wiki ijayo. Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...