Skip to main content

Simba Wamkatia Tamaa Yondani




WAKATI mwenyekiti wa Simba, Ismail aden Rage akijigamba kulijumuisha jina la mchezaji Kelvin Yondani katika usajili, habari ambazo Mwananchi imezipata, ni kwamba klabu hiyo imeamua kuachana na mchezaji huyo.

Simba ilikuwa ikihaha kumnusuru beki huyo ambaye amekwishajichomoza Yanga na hata kuanza mazoezi wakitaka kumrejeshea fedha zake apeleke Yanga na arudi kundini.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya Yondan kuanza mazoezi Yanga, na viongozi na wadau wakubwa wa Simba walikuwa katika hekaheka za kumrudisha kundini.

Awali Habari ambazo Mwananchi ilizipata zilidai kuwa mdau mmoja wa Simba alikutana na wadau na viongozi wa Simba pamoja na Yondani mwenyewe wakimshawisi wampatie fedha, kiasi alichochukua ili azirejeshe Yanga.

Chanzo cha habari kinasema kuwa wadau na wapenzi wa Simba hawakuridhishwa na hatua ya beki huyo kwenda Yanga na kwamba anahitajika kwa kiasi kikubwa Simba.

Baada ya Yondani kuonyesha kuanza mapenzi mapya na Yanga, watu wa karibu wa Simba wamepitisha azimia la kuachana na beki huyo huku wakiamini kuwa wachezaji waliopo wanaweza kuvaa viatu vyake.

"Tumeamua kuachana na Yondani baada ya kumuona Lino Musonda, anacheza vizuri beki wa kati na tunaamini atatusaidia," kilipasha chanzo hicho.

Kiliendelea kudai chanzo hicho kuwa, wasiwasi mkubwa ulikuwa beki wa kati lakini baada ya kupatikana Musonda, kwa pamoja waliridhia beki huyo aende akacheze soka Yanga.

Wakati hayo yakijiri jana, Mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage alikaririwa na Mwananchi Jumapili akikazia kusema Yondani amekwenda Yanga kutia mashamsham ya mazoezi lakini bado ni mchezaji wao halali.

"Yanga wanajifurahisha wenyewe na kelele zao kamwe hazinitishi...mimi nasema mbivu na mbichi vitajulikana Juni 30 tutakapoweka hadharani kikosi chetu kitakashiriki Ligi Kuu msimu ujao," alisema Rage.

Katika hatua nyingine, kocha wa Simba, Milovan Cirkovic aliyewasili jijini Dar es Salaam juzi usiku akitokea Serbia alikokuwa kwa mapuziko, anatarajia kuanza mikakati yake leo ya kuinoa Simba kwa Michuano ya Kagame iliyopangwa kuanza kutimua vumbi Julai 14 mwaka huu.

Kocha huyo pia ataitumia nafasi hiyo kuangalia uwezo wa wachezaji wapya wa kikosi hicho ambao walisajiliwa na hivi karibuni bila ya yeye kuwepo licha ya uongozi wa kilabu hiyo kudai kuwa ulikuwa umepata baraka zake zote.

Kikosi cha mabingwa hao wa Ligi Kuu ambacho kilikuwa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Michuano ya Kagame.

Ofisa Habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga alisema kuwa timu hiyo haina muda wa kupoteza kwa sasa na leo jioni itaendelea na mzoezi yake kwenye Viwanja vya Klabu ya Sigara, TCC, Chang’ombe, Dar es Salaam.

               Chanzo: http://www.mwananchi.co.tz/sport

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...