Skip to main content

WEMA, DIAMOND 'BADO WAPENZI'

JANA katika ukumbi wa Makumbusho, katikati ya Jiji la Dar es Salaam, mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), kulikuwa kuna onyesho la Miss Dar Inter College.
BIN ZUBEIRY alikuwepo na kamera yake katika onyesho hilo, ambalo Jaji Mkuu alikuwa Miss Tanzania wa 2006, Wema Sepetu huku mpenzi wake wa zamani, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ akitumbuiza.
Shoo ilichelewa kuanza kidogo hadi mida ya saa sita usiku- na baada ya warembo kucheza shoo ya ufunguzi, kupita na vazi la ubunifu na la jioni, kabla ya tano bora kutangazwa, ilikuwa zamu ya Platinum wa bongo kupanda katika stage.
Taa zilizimwa na kijana akaibuka na madansa wake jukwaani. Lakini wakati tu MC anasema anamuita Diamond, mapigo ya moyo ya Jaji Mkuu, yalionekana kubadilika na kwenda kasi.
Kwa muda wote, Majaji wenzake wawili walikuwa wanawasiliana naye, lakini ilionekana ghafla kama yeye amekata mawasiliano nao.
Kulikuwa kuna dalili za kutosha kusema; Wema alichanganyikiwa. Dida wa Times FC aliyekuwa jaji pia, alijitahidi kadiri ya uwezo wake kumfanya Wema awe katika hali ya kawaida, lakini alishindwa.
Wema alishindwa kujimudu. Kulikuwa kuna dalili zsa kutosha kusema Wema anampenda sana Diamond. Alikuwa anamfuatilia kwa kila hatua. Alikuwa anaingiwa na kuguswa na nyimbo za Wema Wangu, Mawazo na Nimpende Nani alizokuwa anaimba Diamond pale jukwaani.
Diamond naye sasa; ilionekana dhahiri kila anachokifanya jukwaani ni kwa ajili ya Wema. Na alikuwa anaomba sapoti ya mashabiki ili kujiridhisha kama yuko sahihi.
Kwa sisi waswahili huwezi kusita kusema Diamond alikuwa anampiga ‘vikoleo’ aka vijembe Wema. Lakini pamoja na yote, Diamond alionekana kuwasilisha hisia zake kwamba hakuwa tayari kuachana na Wema.
Ni kama kuna kitu kilimsukuma kujitoa katika mahusiano. Ni nini hicho? Kitendawili kigumu.
Ikumbukwe wawili hawa walifikia hadi kuvalishana pete ya uchumba lakini ndani ya miezi michache tu, penzi likavunjika.
Ila, ndani ya mioyo yao kuna siri nzito sana na kinachoonekana anakosekana jasiri tu kati yao wa kumuanza mwenzake kuhusu mada ya kurejesha uhusiano wao.
Wanaonekana wanapendana bado, na haitakuwa ajabu siku moja wakirudiana. BIN ZUBEIRY mwenye uzoefu wa kutosha juu ya masuala ya mahusiano, raha na maumivu ya mapenzi, anawoambea wawili hao, siku moja wawe mwili mmoja tena. Mungu wabariki na wafungue, waondolee uzito Wema na Diamond. Siku moja, waitane wife n husband. Inshaallah. True love never die.    












Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.