Skip to main content

WEMA, DIAMOND 'BADO WAPENZI'

JANA katika ukumbi wa Makumbusho, katikati ya Jiji la Dar es Salaam, mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), kulikuwa kuna onyesho la Miss Dar Inter College.
BIN ZUBEIRY alikuwepo na kamera yake katika onyesho hilo, ambalo Jaji Mkuu alikuwa Miss Tanzania wa 2006, Wema Sepetu huku mpenzi wake wa zamani, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ akitumbuiza.
Shoo ilichelewa kuanza kidogo hadi mida ya saa sita usiku- na baada ya warembo kucheza shoo ya ufunguzi, kupita na vazi la ubunifu na la jioni, kabla ya tano bora kutangazwa, ilikuwa zamu ya Platinum wa bongo kupanda katika stage.
Taa zilizimwa na kijana akaibuka na madansa wake jukwaani. Lakini wakati tu MC anasema anamuita Diamond, mapigo ya moyo ya Jaji Mkuu, yalionekana kubadilika na kwenda kasi.
Kwa muda wote, Majaji wenzake wawili walikuwa wanawasiliana naye, lakini ilionekana ghafla kama yeye amekata mawasiliano nao.
Kulikuwa kuna dalili za kutosha kusema; Wema alichanganyikiwa. Dida wa Times FC aliyekuwa jaji pia, alijitahidi kadiri ya uwezo wake kumfanya Wema awe katika hali ya kawaida, lakini alishindwa.
Wema alishindwa kujimudu. Kulikuwa kuna dalili zsa kutosha kusema Wema anampenda sana Diamond. Alikuwa anamfuatilia kwa kila hatua. Alikuwa anaingiwa na kuguswa na nyimbo za Wema Wangu, Mawazo na Nimpende Nani alizokuwa anaimba Diamond pale jukwaani.
Diamond naye sasa; ilionekana dhahiri kila anachokifanya jukwaani ni kwa ajili ya Wema. Na alikuwa anaomba sapoti ya mashabiki ili kujiridhisha kama yuko sahihi.
Kwa sisi waswahili huwezi kusita kusema Diamond alikuwa anampiga ‘vikoleo’ aka vijembe Wema. Lakini pamoja na yote, Diamond alionekana kuwasilisha hisia zake kwamba hakuwa tayari kuachana na Wema.
Ni kama kuna kitu kilimsukuma kujitoa katika mahusiano. Ni nini hicho? Kitendawili kigumu.
Ikumbukwe wawili hawa walifikia hadi kuvalishana pete ya uchumba lakini ndani ya miezi michache tu, penzi likavunjika.
Ila, ndani ya mioyo yao kuna siri nzito sana na kinachoonekana anakosekana jasiri tu kati yao wa kumuanza mwenzake kuhusu mada ya kurejesha uhusiano wao.
Wanaonekana wanapendana bado, na haitakuwa ajabu siku moja wakirudiana. BIN ZUBEIRY mwenye uzoefu wa kutosha juu ya masuala ya mahusiano, raha na maumivu ya mapenzi, anawoambea wawili hao, siku moja wawe mwili mmoja tena. Mungu wabariki na wafungue, waondolee uzito Wema na Diamond. Siku moja, waitane wife n husband. Inshaallah. True love never die.    












Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...