Skip to main content

Dk. Jakaya M. Kikwete,Awakaribisha Viongozi Wa Mpira Wakikapu Nchini (TBF)





Leo asubuhi Mhe. Dk. Jakaya M. Kikwete , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliwakaribisha ikulu viongozi wa juu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Nchini (TBF).


Viongozi wa TBF waliokuwepo ni Musa Mziya Rais wa TBF, Phares Magesa Makamu Rais wa TBF, Michael Maluwe Katibu Msaidizi wa TBF na Marry Mmbaga Mhazini wa TBF, pia alikuwepo ndugu Matoke Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo toka Wizara ya Habari,
Utamaduni, Vijana na Michezo.


Makamu wa Rais wa TBF ndugu Phares Magesa kwa niaba ya TBF na kwa niaba ya Kocha Greg Brittenham alitoa maelezo mafupi na kumkabibidhi Rais Kikwete Jersey rasmi ya timu ya New York Knicks yenye jina la KIKWETE ambayo ilitolewa na Kocha Greg ambaye alikuwa nchini kuendesha mafunzo ya kikapu kwa vijana nchini ya miaka 17 yaliyofanyika Arusha 9-10 Juni, 2012 na kushirikisha vijana 100 kati yao wa kike 30 na wa kiume 70.
Pia ndugu Magesa alimkabidhi Mhe. Rais Jacket maalumu la viongozi wa michezo kutoka chuo Kikuu cha Wake Forest ambako Kocha Greg kwa sasa ni Mkurugenzi wa michezo, kabla ya kuijunga na chuo hiki Kocha Greg alikuwa ni kocha Msaidizi wa New York Knicks kwa miaka 20 na ni moja ya makocha bora sana na wa daraja wa juu kabisa duniani wa kikapu katika Strenth and Conditioning.


Pia Rais wa TBF Mziya amkabidhi Mhe. Rais Kikwete Mpira wa kikapu toka kwa wadau wa TBF Kampuni ya Coca Cola kupitia kinywaji cha SPRITE. Mhe. 

Rais alishukuru TBF, Kocha Greg , Timu ya New York Knicks, Chuo Kikuu Cha Wake Forest na Coca Cola kwa vifaa hivyo vya michezo na akaomba tuimarishe mahusiano nao ili kuinua mchezo wa kikapu nchini.

Kutoka Full Shangwe. www.fullshangwe.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.