Skip to main content

Dk. Jakaya M. Kikwete,Awakaribisha Viongozi Wa Mpira Wakikapu Nchini (TBF)





Leo asubuhi Mhe. Dk. Jakaya M. Kikwete , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliwakaribisha ikulu viongozi wa juu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Nchini (TBF).


Viongozi wa TBF waliokuwepo ni Musa Mziya Rais wa TBF, Phares Magesa Makamu Rais wa TBF, Michael Maluwe Katibu Msaidizi wa TBF na Marry Mmbaga Mhazini wa TBF, pia alikuwepo ndugu Matoke Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo toka Wizara ya Habari,
Utamaduni, Vijana na Michezo.


Makamu wa Rais wa TBF ndugu Phares Magesa kwa niaba ya TBF na kwa niaba ya Kocha Greg Brittenham alitoa maelezo mafupi na kumkabibidhi Rais Kikwete Jersey rasmi ya timu ya New York Knicks yenye jina la KIKWETE ambayo ilitolewa na Kocha Greg ambaye alikuwa nchini kuendesha mafunzo ya kikapu kwa vijana nchini ya miaka 17 yaliyofanyika Arusha 9-10 Juni, 2012 na kushirikisha vijana 100 kati yao wa kike 30 na wa kiume 70.
Pia ndugu Magesa alimkabidhi Mhe. Rais Jacket maalumu la viongozi wa michezo kutoka chuo Kikuu cha Wake Forest ambako Kocha Greg kwa sasa ni Mkurugenzi wa michezo, kabla ya kuijunga na chuo hiki Kocha Greg alikuwa ni kocha Msaidizi wa New York Knicks kwa miaka 20 na ni moja ya makocha bora sana na wa daraja wa juu kabisa duniani wa kikapu katika Strenth and Conditioning.


Pia Rais wa TBF Mziya amkabidhi Mhe. Rais Kikwete Mpira wa kikapu toka kwa wadau wa TBF Kampuni ya Coca Cola kupitia kinywaji cha SPRITE. Mhe. 

Rais alishukuru TBF, Kocha Greg , Timu ya New York Knicks, Chuo Kikuu Cha Wake Forest na Coca Cola kwa vifaa hivyo vya michezo na akaomba tuimarishe mahusiano nao ili kuinua mchezo wa kikapu nchini.

Kutoka Full Shangwe. www.fullshangwe.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...