Skip to main content

Udugu wa Kiislamu watangaza ushindi Misri


epa03267819 Egyptian presidential candidate Mohammed Morsi (C) gestures after casting his vote for the run-off presidential elections at a polling station in Sharqiya, 140 km north east Cairo, Egypt, 16 June 2012. Some 50 million people are eligible to vote in the two-day poll to pick a successor to former president Hosni Mubarak, who was deposed in a popular revolt last year. The two contenders; Muslim Brotherhood candidate, Mohammed Morsi, and Mubarak's last PM, Ahmed Shafik, failed to secure an outright majority in the first round last month. EPA/STR
Mamia ya wafuasi wa Udugu wa Kiislamu wamekusanyika katika uwanja wa al-Tahrir mjini Cairo kusheherekea baada ya chama hicho kutangaza ushindi katika uchaguzi wa rais.

Chama cha Udugu wa Kiislamu kimeripoti kwenye tovuti yake kwamba mgombea wake Mohamed Mursi amejipatia asilimia 52 katika uchaguzi huo uliofanyika kwa siku mbili mwishoni mwa juma baada ya asilimia 95 ya kura kuhesabiwa kutoka vituo vya kupiga kura.

Mursi, profesa wa uhandisi, alisimama dhidi ya Ahmed Shafiq, kamanda wa zamani wa kikosi cha anga, ambaye alitumika kwa muda mfupi kama waziri mkuu wakati wa utawala wa Mubarak.

Katika hotuba aliyoitowa kwa njia ya televisheni mapema leo hii, Mursi amesisitiza ahadi yake ya kujenga taifa la Misri la kisasa chini ya misingi ya kiraia, na amesema kwamba hatotaka kulipiza kisasi au kujaribu kuwaandama wapinzani wake. Ameuambia mkutano wa waandishi wa habari ulioonyeshwa kwenye televisheni kwamba atakuwa rais kwa Wamisri wote - Waislamu na Wakristo.

Mursi, ambaye anaongoza chama cha Udugu wa Kiislam cha Uhuru na Haki, ametowa wito kwa Wamisri kuungana kuwa kitu kimoja ili kujenga mustakbali mzuri utakaokuwa na uhuru, demokrasia, maendeleo na amani. Amesema ujumbe wake ni wa amani kwa kila mtu duniani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...