Skip to main content

Udugu wa Kiislamu watangaza ushindi Misri


epa03267819 Egyptian presidential candidate Mohammed Morsi (C) gestures after casting his vote for the run-off presidential elections at a polling station in Sharqiya, 140 km north east Cairo, Egypt, 16 June 2012. Some 50 million people are eligible to vote in the two-day poll to pick a successor to former president Hosni Mubarak, who was deposed in a popular revolt last year. The two contenders; Muslim Brotherhood candidate, Mohammed Morsi, and Mubarak's last PM, Ahmed Shafik, failed to secure an outright majority in the first round last month. EPA/STR
Mamia ya wafuasi wa Udugu wa Kiislamu wamekusanyika katika uwanja wa al-Tahrir mjini Cairo kusheherekea baada ya chama hicho kutangaza ushindi katika uchaguzi wa rais.

Chama cha Udugu wa Kiislamu kimeripoti kwenye tovuti yake kwamba mgombea wake Mohamed Mursi amejipatia asilimia 52 katika uchaguzi huo uliofanyika kwa siku mbili mwishoni mwa juma baada ya asilimia 95 ya kura kuhesabiwa kutoka vituo vya kupiga kura.

Mursi, profesa wa uhandisi, alisimama dhidi ya Ahmed Shafiq, kamanda wa zamani wa kikosi cha anga, ambaye alitumika kwa muda mfupi kama waziri mkuu wakati wa utawala wa Mubarak.

Katika hotuba aliyoitowa kwa njia ya televisheni mapema leo hii, Mursi amesisitiza ahadi yake ya kujenga taifa la Misri la kisasa chini ya misingi ya kiraia, na amesema kwamba hatotaka kulipiza kisasi au kujaribu kuwaandama wapinzani wake. Ameuambia mkutano wa waandishi wa habari ulioonyeshwa kwenye televisheni kwamba atakuwa rais kwa Wamisri wote - Waislamu na Wakristo.

Mursi, ambaye anaongoza chama cha Udugu wa Kiislam cha Uhuru na Haki, ametowa wito kwa Wamisri kuungana kuwa kitu kimoja ili kujenga mustakbali mzuri utakaokuwa na uhuru, demokrasia, maendeleo na amani. Amesema ujumbe wake ni wa amani kwa kila mtu duniani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.