Skip to main content

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU WILLY EDWARD LEO KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA


 Mchungaji akiongoza ibada ya Kuaga Mwili wa Marehemu Willy Edward leo.
 Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini,Absalom Kibanda akisoma historia fupi ya Marehemu Willy Edward wakati wa Kuaga mwili wake leo kwenye Viwanja Vya Mnazi Mmoja jijini Dar.
 Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi (CCM),Nape Nnaupe akizungumza kwenye shughuli hiyo ya kuaga Mwili wa Marehemu Willy Edward.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF),Prof. Ibrahim Lipumba akitoa neno kwa wafiwa wakari wa shughuli ya Kuaga mwili wa Marehe Willy Edward leo.
 Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginald Mengi akimpa pole Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Jambo Concepts ambao ni Wachapishaji wa Magazeti ya Jambo Leo,Juma Pinto wakati wa Shughuli ya Kuaga mwili wa Marehemu Willy Edward ambaye alikuwa ni Mhariri wa Gazeti la Jambo leo,iliyofanyika leo kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar.
 Baadhi ya Wahariri wa Vyombo mbali mbali vya Habari hapa nchini wakijiandaa kushusha jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Gazeti la Jambo Leo,Marehemu Willy Edward Ogunde aliefariki dunia mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro.Shughuli ya kuaga Mwili wa Marehemu Willy imefanyika leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar na baadae ikafuatia safari ya kwenda Nyumbani kwao Mara kwa Mazishi.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi (CCM),Nape Nnaupe akitoa heshima zake.
Bw. Athuma Hamis akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Willy Edward.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF),Prof. Ibrahim Lipumba akitoa heshima zake za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Willy Edward ambaye alikuwa Mhariri wa Gazeti la Jambo Leo aliefariki ghafla huko mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki.Hafla hii ya kuaga imefanyika mchana huu katika viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar.
Mwili wa Willy Edward ukiwekwa katika sehemu yake tayari ibada ya kuaga.
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini,Absalom Kibanda akibadirishana mawazo na Mkuu wa Masoko wa Benki ya NMB,Iman Kajura.
Baadhi ya Wahariri wa Vyombo Mbali mbali vya habari nchini wakiwa katika picha ya pamoja.
Ankal akiwa na Mwanalibeneke Francis Godwin
Ankal akisabahiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF),Prof. Ibrahim Lipumba,Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi (CCM),Nape Nnaupe pamoja na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt. Reginald Mengi.
Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kwa safari ya Mara kwa Mazishi.
Waombolezaji.Picha Zote Kwa Hisani ya Michuzi Blog

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...