Skip to main content

POLISI KIGOMA WAPAMBANA NA MAJAMBAZI NA KUFANIKIWA KUMUUA MMOJA NA KUPATA SILAHA AINA YA SMG YENYE RISASI NNE.


Na.Mohammed Mhina na Pardon Mbwate, wa Jeshi la Polisi
Makachero wa Jeshi la Polisi mkoani Kigoma jana walilazimika kutumia risasi kupambana na kundi la majambazi wenye silaha waliokuwa wamepanga kumvamia mmoja wa wafanya biashara mkoani humo.
Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma ACP. Frasser Kashai (Pichani), amesema kuwa katika tukio hilo Polisi walimpiga risasi mmoja wa majambazi hayo aliejulikana kwa jina la Lowasi Moria(22) mkazi wa Kijiji cha Kabale mkoani humo.
Kamanda Kashai amesema wakati wa mapambano hayo, majambazi wengine watatu walifanikiwa kutoroka huku wakimuacha mwenzao aliyekuwa na silaha hiyo aina ya SMG akiwa anagaragara chini kutokana na majeraha ya risasi.
Hata hivyo Kamanda Kashai amesema jambazi huyo aliyekuwa na SMG yenye namba TU 8453 ikiwa na risasi nne zilizobaki kwenye magazine yake alifariki dunia wakati Polisi walipokuwa wakimpeleka Hospitali kwa matibabu.
Kamanda kashai amesema tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 06.00 mchana huko kwenye pori la Ruhuru lililopo karibu ya kijiji cha Gwarama wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma.
Amesema Polisi walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuwa kuna majambazi yenye silaha na wamepanga kuwavamia wafanyabiashara wanaopita katika eneo hilo na ndipo askari waliokuwa wakifanya doria katika barabara hiyo walipoamua kuweka mtego katika eneo hilo.
Kamanda huyo amesema kuwa, wakati wakiwa katika eneo hilo, Polisi walimuona mtu mmoja akiwa na pikipiki akitokea Kakonko kwenda Muhange Kabale na baada ya muda si mrefu majambazi hayo walijitokeza na kumvamia na ndipo walipoanza kurushiana risasi na kufanikiwa kumjeruhi mmoja wao.
Katika tukio lingine Kamanda Kashai amesema juzi majira ya saa nne usiku huko kwenye eneo la Mwanga mjini Kigoma, dereva mmoja wa bodaboda aitwaye Puldence Gasto(28), mkazi wa Majengo alimwagiwa tindikali usoni na abiria aliyembeba kisha kumpora pikipiki yake.
Kamanda huyo ameitaja pikipiki iliyoporwa kuwa ni yenye namba T 692 BLZ aina ya SUNLG, rangi nyekundu ambayo hadi sasa haijajulikana mahali ilipo.
Amesema dereva huyo wa bodaboda amelazwa kwenye hospitali ya mkoa ya Maweni kwa matibabu zaidi wakati Polisi wakiendelea na msako dhidi mtuhumiwa pamoja na pikipiki hiyo.
Kufuatia tukio hilo, Kamanda Kashai, ametoa wito kwa vijana waendesha boda boda mkoani humo, kuwa na ushirikiano na kwamba kila mmoja wao amzingatie abiria aliyechukuliwa na mmoja wao ili iwe rahisi kumkamata linapotokea tatizo kama hilo.

POLISI KIGOMA WAPAMBANA NA MAJAMBAZI NA KUFANIKIWA KUMUUA MMOJA NA KUPATA SILAHA AINA YA SMG YENYE RISASI NNE.

Na.Mohammed Mhina na Pardon Mbwate, wa Jeshi la Polisi
Makachero wa Jeshi la Polisi mkoani Kigoma jana walilazimika kutumia risasi kupambana na kundi la majambazi wenye silaha waliokuwa wamepanga kumvamia mmoja wa wafanya biashara mkoani humo.
Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma ACP. Frasser Kashai (Pichani), amesema kuwa katika tukio hilo Polisi walimpiga risasi mmoja wa majambazi hayo aliejulikana kwa jina la Lowasi Moria(22) mkazi wa Kijiji cha Kabale mkoani humo.
Kamanda Kashai amesema wakati wa mapambano hayo, majambazi wengine watatu walifanikiwa kutoroka huku wakimuacha mwenzao aliyekuwa na silaha hiyo aina ya SMG akiwa anagaragara chini kutokana na majeraha ya risasi.
Hata hivyo Kamanda Kashai amesema jambazi huyo aliyekuwa na SMG yenye namba TU 8453 ikiwa na risasi nne zilizobaki kwenye magazine yake alifariki dunia wakati Polisi walipokuwa wakimpeleka Hospitali kwa matibabu.
Kamanda kashai amesema tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 06.00 mchana huko kwenye pori la Ruhuru lililopo karibu ya kijiji cha Gwarama wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma.
Amesema Polisi walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuwa kuna majambazi yenye silaha na wamepanga kuwavamia wafanyabiashara wanaopita katika eneo hilo na ndipo askari waliokuwa wakifanya doria katika barabara hiyo walipoamua kuweka mtego katika eneo hilo.
Kamanda huyo amesema kuwa, wakati wakiwa katika eneo hilo, Polisi walimuona mtu mmoja akiwa na pikipiki akitokea Kakonko kwenda Muhange Kabale na baada ya muda si mrefu majambazi hayo walijitokeza na kumvamia na ndipo walipoanza kurushiana risasi na kufanikiwa kumjeruhi mmoja wao.
Katika tukio lingine Kamanda Kashai amesema juzi majira ya saa nne usiku huko kwenye eneo la Mwanga mjini Kigoma, dereva mmoja wa bodaboda aitwaye Puldence Gasto(28), mkazi wa Majengo alimwagiwa tindikali usoni na abiria aliyembeba kisha kumpora pikipiki yake.
Kamanda huyo amo ameitaja pikipiki iliyoporwa kuwa ni yenye namba T 692 BLZ aya SUNLG, rangi nyekundu ambayo hadi sasa haijajulikana mahali ilipo.
Amesema dereva huyo wa bodaboda amelazwa kwenye hospitali ya mkoa ya Maweni kwa matibabu zaidi wakati Polisi wakiendelea na msako dhidi mtuhumiwa pamoja na pikipiki hiyo.
Kufuatia tukio hilo, Kamanda Kashai, ametoa wito kwa vijana waendesha boda boda mkoani humo, kuwa na ushirikiano na kwamba kila mmoja wao amzingatie abiria aliyechukuliwa na mmoja wao ili iwe rahisi kumkamata linapotokea tatizo kama hilo.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...