Skip to main content

Wateja Vodacom wachanga 11 Milioni kusaidia waathirika wa mafuriko.




Ni kupitia kampeni ya Red Alert na Vodacom M-pesa.

Dar es salaam 12 Disemba 2012. Kampeni iliyoendeshwa na kampuni
ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania kuchangisha
fedha kupitia Red Alert na M-pesa imewezesha kupatikana kwa shilingi
11,607,470/=

Kampeni hiyo iliyodumu kwa wiki tatu kuanzia Disemba 22 mwaka jana hadi
Januari 10, 2011 imewezesha kupatikana fedha hizo zilizochanganywa na
wateja kuunga mkono juhudi za Vodacom za kusaidia waathirika wa maafa.

Kampuni ya Vodacom ilitangaza kuwashwa kwa nambari ya Red Alert na
kuweka nambari maalum ya kuchangia kwa M-pesa saa chache baada ya
kutolewa taarifa rasmi za kuwepo kwa athari kubwa za mvua zilizonyesha
kwa siku tatu mfululizo Dar es salaam.

“Kila mtu alikuwa na nafasi ya kusaidia kuokoa na kusitiri maisha ya
wenzetu waliothiriwa na ndio maana tukawasha nambari ya Red Alert na
kuruhusu uchangiaji kupitia M-pesa” Amesema Ofisa Mkuu wa Masoko na
Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bi. Mwamvita Makamba.

Nambari ya Red Alert hutumika na Vodacom wakati wa maafa kuwezesha
wateja kuchangia fedha kusaidia waathirika na hakuna makato
yanayofanywa katika ujumbe mfupi unaotumwa katika nambari hii ili
kiwango kinachopatikana kiwanufaishe waathirika moja kwa moja.

Maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha sehemu mbalimbali nchini
ikiwemo Dar es salaam Disemba mwaka jana yaligharimu maisha ya watu
huku maelfu ya familia yakiachwa bila makazi.

“Ni jambo la faraja kwamba tumeweza kusimama kama familia moja ya
Vodacom wafanyakazi, wateja wetu na wadau na kuonesha upendo wetu
dhidi ya wenzetu walioguswa na maafa hayo”. Aliongeza Mwamvita.

Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia mfuko wake wa kusiadia jamii –

Vodacom Foundation inaandaa utaratibu wa michango hiyo kuwanufaisha
walengwa kama ilivyokusudiwa.

Awali Vodacom Tanzania ilichangia vitu mbalimbali vyenye thamani ya
shilingi milioni thelathini ikiwemo vyakula, magodoro na mablanketi kwa
waathirika wa maafa ya Dar es salaam waliokuwa wakiishi katika kambi
maalum kwa wakati huo.

Ujumbe mmoja wa maneno kwenda nambari ya Red Alert 15599 uligharimu
Tzs 500/-, na kwenda M-pesa nambari 155990 uligharamiu Tzs. 1,000/- na
kwamba hakukuwepo na ukomo wa kutuma ujumbe na kuchangia.Inatoka kwa Mdau Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...