Skip to main content

Wateja Vodacom wachanga 11 Milioni kusaidia waathirika wa mafuriko.




Ni kupitia kampeni ya Red Alert na Vodacom M-pesa.

Dar es salaam 12 Disemba 2012. Kampeni iliyoendeshwa na kampuni
ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania kuchangisha
fedha kupitia Red Alert na M-pesa imewezesha kupatikana kwa shilingi
11,607,470/=

Kampeni hiyo iliyodumu kwa wiki tatu kuanzia Disemba 22 mwaka jana hadi
Januari 10, 2011 imewezesha kupatikana fedha hizo zilizochanganywa na
wateja kuunga mkono juhudi za Vodacom za kusaidia waathirika wa maafa.

Kampuni ya Vodacom ilitangaza kuwashwa kwa nambari ya Red Alert na
kuweka nambari maalum ya kuchangia kwa M-pesa saa chache baada ya
kutolewa taarifa rasmi za kuwepo kwa athari kubwa za mvua zilizonyesha
kwa siku tatu mfululizo Dar es salaam.

“Kila mtu alikuwa na nafasi ya kusaidia kuokoa na kusitiri maisha ya
wenzetu waliothiriwa na ndio maana tukawasha nambari ya Red Alert na
kuruhusu uchangiaji kupitia M-pesa” Amesema Ofisa Mkuu wa Masoko na
Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bi. Mwamvita Makamba.

Nambari ya Red Alert hutumika na Vodacom wakati wa maafa kuwezesha
wateja kuchangia fedha kusaidia waathirika na hakuna makato
yanayofanywa katika ujumbe mfupi unaotumwa katika nambari hii ili
kiwango kinachopatikana kiwanufaishe waathirika moja kwa moja.

Maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha sehemu mbalimbali nchini
ikiwemo Dar es salaam Disemba mwaka jana yaligharimu maisha ya watu
huku maelfu ya familia yakiachwa bila makazi.

“Ni jambo la faraja kwamba tumeweza kusimama kama familia moja ya
Vodacom wafanyakazi, wateja wetu na wadau na kuonesha upendo wetu
dhidi ya wenzetu walioguswa na maafa hayo”. Aliongeza Mwamvita.

Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia mfuko wake wa kusiadia jamii –

Vodacom Foundation inaandaa utaratibu wa michango hiyo kuwanufaisha
walengwa kama ilivyokusudiwa.

Awali Vodacom Tanzania ilichangia vitu mbalimbali vyenye thamani ya
shilingi milioni thelathini ikiwemo vyakula, magodoro na mablanketi kwa
waathirika wa maafa ya Dar es salaam waliokuwa wakiishi katika kambi
maalum kwa wakati huo.

Ujumbe mmoja wa maneno kwenda nambari ya Red Alert 15599 uligharimu
Tzs 500/-, na kwenda M-pesa nambari 155990 uligharamiu Tzs. 1,000/- na
kwamba hakukuwepo na ukomo wa kutuma ujumbe na kuchangia.Inatoka kwa Mdau Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...