Skip to main content

Wateja Vodacom wachanga 11 Milioni kusaidia waathirika wa mafuriko.




Ni kupitia kampeni ya Red Alert na Vodacom M-pesa.

Dar es salaam 12 Disemba 2012. Kampeni iliyoendeshwa na kampuni
ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania kuchangisha
fedha kupitia Red Alert na M-pesa imewezesha kupatikana kwa shilingi
11,607,470/=

Kampeni hiyo iliyodumu kwa wiki tatu kuanzia Disemba 22 mwaka jana hadi
Januari 10, 2011 imewezesha kupatikana fedha hizo zilizochanganywa na
wateja kuunga mkono juhudi za Vodacom za kusaidia waathirika wa maafa.

Kampuni ya Vodacom ilitangaza kuwashwa kwa nambari ya Red Alert na
kuweka nambari maalum ya kuchangia kwa M-pesa saa chache baada ya
kutolewa taarifa rasmi za kuwepo kwa athari kubwa za mvua zilizonyesha
kwa siku tatu mfululizo Dar es salaam.

“Kila mtu alikuwa na nafasi ya kusaidia kuokoa na kusitiri maisha ya
wenzetu waliothiriwa na ndio maana tukawasha nambari ya Red Alert na
kuruhusu uchangiaji kupitia M-pesa” Amesema Ofisa Mkuu wa Masoko na
Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bi. Mwamvita Makamba.

Nambari ya Red Alert hutumika na Vodacom wakati wa maafa kuwezesha
wateja kuchangia fedha kusaidia waathirika na hakuna makato
yanayofanywa katika ujumbe mfupi unaotumwa katika nambari hii ili
kiwango kinachopatikana kiwanufaishe waathirika moja kwa moja.

Maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha sehemu mbalimbali nchini
ikiwemo Dar es salaam Disemba mwaka jana yaligharimu maisha ya watu
huku maelfu ya familia yakiachwa bila makazi.

“Ni jambo la faraja kwamba tumeweza kusimama kama familia moja ya
Vodacom wafanyakazi, wateja wetu na wadau na kuonesha upendo wetu
dhidi ya wenzetu walioguswa na maafa hayo”. Aliongeza Mwamvita.

Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia mfuko wake wa kusiadia jamii –

Vodacom Foundation inaandaa utaratibu wa michango hiyo kuwanufaisha
walengwa kama ilivyokusudiwa.

Awali Vodacom Tanzania ilichangia vitu mbalimbali vyenye thamani ya
shilingi milioni thelathini ikiwemo vyakula, magodoro na mablanketi kwa
waathirika wa maafa ya Dar es salaam waliokuwa wakiishi katika kambi
maalum kwa wakati huo.

Ujumbe mmoja wa maneno kwenda nambari ya Red Alert 15599 uligharimu
Tzs 500/-, na kwenda M-pesa nambari 155990 uligharamiu Tzs. 1,000/- na
kwamba hakukuwepo na ukomo wa kutuma ujumbe na kuchangia.Inatoka kwa Mdau Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.