Skip to main content

Makada CCM, CUF, NCCR wafungua kesi ya kikatiba


Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila
 WANANCHI wa Jimbo la Kigoma Kusini wamefungua kesi ya kikatiba katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam wakiiomba  iamuru kusitishwa kwa matumizi ya Ibara ya 71 (1) (f) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano juu ya mbunge aliyefukuzwa uanachama katika chama chake.

Pia wapiga kura hao wameiomba Mahakama iliamuru Bunge litunge sheria inayoruhusu mbunge aliyefukuzwa uanachama katika chama chake atambuliwe kuwa mbunge huru au aruhusiwe kuhama na ubunge wake kwenda chama chochote atakachotaka.

Kesi hiyo imefunguliwa siku chache tangu Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila avuliwe uanachama wa NCCR-Mageuzi, hatua ambayo kikatiba inamvua ubunge wake. Kafulia alivuliwa uanachama Novemba 20, mwaka jana. Hata hivyo, amefungua kesi kupinga hatua hiyo.

Kadhalika, siku tatu zilizopita, Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), lilimvua uanachama wa chama hicho Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed hatua ambayo inamfanya apoteze nafasi yake ya ubunge.

Jana, CUF waliwasilisha barua katika Ofisi ya Spika wa Bunge, kumwarifu kuhusu uamuzi wa kumvua uanachama Hamad, huku mbunge huyo akisema uamuzi wa huo ni batili kwani ulikiuka amri ya mahakama iliyokuwa ikizuia kufanyika kwa kikao chake.

Kesi ya Kikatiba
Wapiga kura watatu wa Kigoma Kusini ndiyo waliofungua kesi hiyo ya kikatiba na kila mmoja anatoka katika chama tofauti cha siasa. Mmoja ni mwanaCCM, mwingine CUF na wa tatu anatoka NCCR Mageuzi. Walifungua kesi hiyo kwa niaba ya wananchi wengine wa jimbo hilo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...Soma zaidi mwananhi.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...