Skip to main content

MDAHALO WA KATIBA MPYA ZANZIBAR





Na Khadija Khamis –Maelezo 30/01/2012.

Mjumbe wa Baraza la Katiba Zanzibar na Mwanasheria wa kujitegemea Ali
Saleh amewashauri Wananchi wa Zanzibar kuwa makini katika kuwasilisha
maoni yao ya kutetea maslahi ya Zanzibar na sio kuburuzwa na Wanasiasa
ambao wanajali zaidi maslahi yao.

Ushauri huo ameutoa wakati alipokuwa katika mdahalo wa kujadili dhana
nzima ya marekebisho ya Katiba na Wananchi wa Mkwajuni Wilaya ya
Kaskazini A Unguja.

Mjumbe huyo alisema kuwa ndani ya mjadala wa Katiba kuna mambo
mengi ya kujadiliwa lakini kwa upande wa Zanzibar la muhimu zaidi ni
kujadili kero za Muungano kwani hii ndio nafasi pekee ya kuwakilisha
mambo yanayowayima fursa Wazanzibar.

Akifafanua zaidi alisema kuwa suala la Muungano ndio muhimu kwa
Wazanzibari kwa sababu limewaunganisha na sehemu ya pili ya Muungano
ambapo kuwekwa sawa kwake kutaleta mabadiliko makubwa ya Kisiasa na
Kiuchumi kwa Zanzibar

Alieleza kuwa kila siku jamii inazungumzia kero za Muungano jambo
ambalo si sahihi kwani Muungano si kero ila Katiba iliyopo ina upungufu
mengi ambayo yamepelekea kushindwa kukidhi haja kwa wakati na
matumaini ya watu wa pande mbili za muungano huo.

Hata hiyo alisema pindipo Wazanzibari watakaa pamoja na kujadili kwa
kina Katiba iliyopo kutawezesha mapungufu yaliyomo kuonekana jambo
litakalowapelekea kufanya maamuzi bora zaidi wakati wa kupiga kura za
maoni utapofika

Kwa upande wa Wananchi waliohudhuria kongamano hilo walisema kuwa
umefika wakati wa kujenga mustakabali mpya wa mashirikiano ya pamoja
na kuondoa itikadi za vyama kwa lengo la kujenga heshima ya Nchi ya
Zanzibar.

“Tushikamane Wazanzibar tusipokuwa pamoja Zanzibar inakwenda zake
lazima tuwe na msimamo mmoja bila kujali itikadi za vyama vyetu”alisema
mmoja wa wananchi hao

Pia waliitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iwashughulikie katika
kuwapatia vitambulisho vya Mzazibar Mkaazi ili kuweza kupata haki zao
bila ya usumbufu.

Aidha walitoa wito kwa Serikali kuzidisha juhudi za kutoa elimu sahihi kwa
Wananchi wa Zanzibar juu ya dhana ya marekebisho ya Katiba mpya ili
wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba wawe na uelewa mpana.

Idara ya Habari MAELEZO-ZANZIBAR

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...