Skip to main content

Serikali yapewa saa 72 kuwarejesha madaktari Muhimbili


Serikali yapewa saa 72 kuwarejesha madaktari Muhimbili
Dk. Mtasiwa asimamishwa uanachama kwa mwaka mmoja
JK atakiwa kuwatafutia kazi nyingine Nyoni, Dk. Mtasiwa.

Na Richard Mwaikenda

CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimeipa Serikali saa 72, kuwarejesha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Wanafunzi waliofuzu udaktari waliondolewa hapo baada ya kugoma wakidai malipo yao.

Tamko hilo lilitolewa na Rais wa chama hicho, Dk Namala Mkopi katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana.

Chama hicho kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, kuwatafutia kazi nyingine, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni na Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Deo Mtasiwa kwa kosa la kumshauri vibaya Waziri wa wizara hiyo, Dk. Hadji Mponda. Alisema Dk. Mponda anasamehewa kwani hajui alitendalo ila inatakiwa awaombe radhi kwa kuwaita madaktari wenzao kuwa si madaktari bali bado wangali wanafunzi.

Rais wa MAT, Dk. Mkopi, pia alitangaza kuwa kimefutia uanachama kwa mwaka mmoja, Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mtasiwa kwa kosa lake la kuusaliti udaktari kutokana na kukiuka kiapo cha udakatari kinachosema kuwa Madaktari wote ni ndugu na nitawatendea haki kama dada na kaka.

Alisema endapo Dk. Mtasiwa atanendelea na tabia hiyo ya kudharau taaluma ya udakatari, basi chama kitaamua kumfukuza kabisa na kumuweka kwenye mtandao wa madaktari duniani, ili iwe fundisho kwa madaktari wengine wenye tabia hiyo.

Dk. Mkopi alisema kuwa chama kimesikitishwa sana na kwamba hawaoni ni kwa nini Serikali imeamua kuwaadhibu madaktari wenzao waliokuwa wakidai haki ya msingi, na kuwaacha kuwaadhibu watu waliosababisha ucheleweshaji wa makusudi wa kutowalipa malipo yao madaktari.

Aliwataka viongozi kuacha tabia ya kutumia siasa kuingilia masuala ya kitaaluma, na kwamba wanavyofanya hivyo, wajue kwamba wanaowakomoa si madaktari bali ni wagonjwa. Alisema kitendo cha kuwaondoa madakari zaidi ya 200 tayari kimeanza kuleta athari kwa madakatari mabingwa waliokuwa wakisaidia kazi, na kwamba kibaya zaidi kusababisha wagonjwa wengi kufariki katika Hospitali hiyo.

Alisema kitendo cha Serikali kuwaondoa madaktari wenzao katika Hospitali ya Muhimbili na kuamua kuwapangia Hospitali zingine si kizuri, kwani baadhi ya hospitali walizohamishiwa hakuna nafasi wala mambo wanayotakiwa kujifunza, hivyo mpaka sasa hakuna wanalolifanya.

Chama hicho, kimeitisha mkutano mkubwa wa madakari wote nchini, Jumatano ijayo utakaofanyika, Dar es Salaam, na kuzungumzia mambo kadhaa likiwemo la madakatari wenzao.

Alitaja baadhi ya ajenda watakazozungumzia kwenye mkutano huo, kuwa ni;Hatima ya heshima ya udaktari, Ulipaji posho kwa madaktari, Mshahara uendane na elimu, majukumu na hadhi ya udaktari, madaktari kupewa nyumba, posho ya mazingira magumu, posho ya mazingira hatarishi pamoja na uhamishaji ovyo wa madaktari.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...