Skip to main content

BASATA KILIMANJARO AWARDS 2012 ZABORESHWA ZAIDI


Msimu wa wasanii Tanzania Kuvuna Walichokipanda kati ya mwaka 2011 maana Tunzo pekee Nchini Zijulikanazo kama Basata Kilimanjaro Music Awards zimewadia na tayari mchakato huo umezinduliwa rasmi ..Kwa mujibu wa ratiba iliyotangazwa, wanamuziki waliofanya vizuri mwaka jana kwa ajili ya kupewa tuzo mwaka huu, watachambuliwa kwenye Academy ya siku mbili kama ambavyo hufanyika kila mwaka.Taarifa kwa vyombo vya habari, iliyosomwa na meneja wa kampuni wadhamini wa Kili Music Awards, George Kavishe imeeleza kwamba kwenye academy ndipo wanamuziki watapagwa kwenye vipengele (categories) tofautitofauti.Kavishe alisema, academy itafanyika kati ya Januari 26 na 27 ambapo wadau kati ya 50 na 100, watakutana na kuchanganua wanamuziki wa aina zote, waliofanya vizuri mwaka jana na kuwekwa kwenye vipengele vyao kabla ya kuruhusu Watanzania wapige kura kuwapata wale watakaotunukiwa tuzo hizo.Alisema, kura za Watanzania zitabeba uzito wa asilimia 70 na majaji 15 watakaa kama jopo na kusimamia watu watakaoshinda ili wawe ni wale kweli wanaostahili.Alifafanua kwamba uzito wa kura za majaji 15, ni asilimia 30....
 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.