Skip to main content

BASATA KILIMANJARO AWARDS 2012 ZABORESHWA ZAIDI


Msimu wa wasanii Tanzania Kuvuna Walichokipanda kati ya mwaka 2011 maana Tunzo pekee Nchini Zijulikanazo kama Basata Kilimanjaro Music Awards zimewadia na tayari mchakato huo umezinduliwa rasmi ..Kwa mujibu wa ratiba iliyotangazwa, wanamuziki waliofanya vizuri mwaka jana kwa ajili ya kupewa tuzo mwaka huu, watachambuliwa kwenye Academy ya siku mbili kama ambavyo hufanyika kila mwaka.Taarifa kwa vyombo vya habari, iliyosomwa na meneja wa kampuni wadhamini wa Kili Music Awards, George Kavishe imeeleza kwamba kwenye academy ndipo wanamuziki watapagwa kwenye vipengele (categories) tofautitofauti.Kavishe alisema, academy itafanyika kati ya Januari 26 na 27 ambapo wadau kati ya 50 na 100, watakutana na kuchanganua wanamuziki wa aina zote, waliofanya vizuri mwaka jana na kuwekwa kwenye vipengele vyao kabla ya kuruhusu Watanzania wapige kura kuwapata wale watakaotunukiwa tuzo hizo.Alisema, kura za Watanzania zitabeba uzito wa asilimia 70 na majaji 15 watakaa kama jopo na kusimamia watu watakaoshinda ili wawe ni wale kweli wanaostahili.Alifafanua kwamba uzito wa kura za majaji 15, ni asilimia 30....
 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...