Msimu
wa wasanii Tanzania Kuvuna Walichokipanda kati ya mwaka 2011 maana
Tunzo pekee Nchini Zijulikanazo kama Basata Kilimanjaro Music Awards
zimewadia na tayari mchakato huo umezinduliwa rasmi ..Kwa mujibu wa
ratiba iliyotangazwa, wanamuziki waliofanya vizuri mwaka jana kwa ajili
ya kupewa tuzo mwaka huu, watachambuliwa kwenye Academy ya siku mbili
kama ambavyo hufanyika kila mwaka.Taarifa kwa vyombo vya habari,
iliyosomwa na meneja wa kampuni wadhamini wa Kili Music Awards, George
Kavishe imeeleza kwamba kwenye academy ndipo wanamuziki watapagwa
kwenye vipengele (categories) tofautitofauti.Kavishe alisema, academy
itafanyika kati ya Januari 26 na 27 ambapo wadau kati ya 50 na 100,
watakutana na kuchanganua wanamuziki wa aina zote, waliofanya vizuri
mwaka jana na kuwekwa kwenye vipengele vyao kabla ya kuruhusu
Watanzania wapige kura kuwapata wale watakaotunukiwa tuzo hizo.Alisema,
kura za Watanzania zitabeba uzito wa asilimia 70 na majaji 15 watakaa
kama jopo na kusimamia watu watakaoshinda ili wawe ni wale kweli
wanaostahili.Alifafanua kwamba uzito wa kura za majaji 15, ni asilimia
30....
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments