Skip to main content

Serikali ya China yaishukuru Tanzania kwa ushirikiano


Na: Kitengo cha Habari
WHVUM
Dar es Salaam
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa Tanzania inafurahia uhusiano uliopo kati yake na China hususan katika tasnia ya Utamaduni.
Waziri Nchimbi ameyasema hayo jana jijini Dar es salaam wakati akiongea na kikundi cha sanaa cha Tianjin kilichotoka nchini China kushirikiana na jamii ya kichina inayoishi nchini kusherehekea mwaka mpya wa Kichina ujulikanao kama ‘Spring Festival.’
Aidha, Kikundi hicho kilichoambatana na Balozi wa China, Bw. Liu Xsheng kimeishukuru Serikali ya Tanzania kwa ujumla kwa ushirikiano ambao imekuwa ikitoa katika masuala mbalimbali ya Utamaduni na maendeleo ya nchi hizo mbili.
“Tunaishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano ambao imekuwa ikitoa katika masuala mbalimbali ya utamaduni na maendeleo baina ya nchi hizi mbili”.Alisema Balozi Liu Xsheng ambae aliongozana na kikundi hicho.
Ugeni huo umetumia nafasi hiyo kumkaribisha Dkt. Nchimbi kushiriki Tamasha la Utamaduni la Afrika (African cultural forum) litakalofanyika nchini China Mei mwaka huu.
Kikundi hicho kilimtembelea leo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa ajili ya kutoa shukurani kwa Wizara kwa ushirikiano iliyoonyesha wakati wa maandalizi ya sherehe hizo.
Mwaka mpya wa Kichina hapa nchini uliadhimishwa tarehe 15 Janauari mwaka huu katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam , ambapo Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Mhe. Gharib Bilal.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.