Sisi
kama TETEMESHA RECORDZ tumejiwekea malengo ya kuwa tunajaribu kutafuta
wasanii wachanga kabisa lakini wenye vipaji na kuwapika kisha
kuwatambulisha katika music industry hapa TZ.Tulianza na HUSSEIN
MACHOZI, akafuata SAJNA na sasa ni zamu ya msanii mwingine mpya C-SIR
MADINI kutoka Mwanza Na sasa tumeshamtambulisha kwenu PETER MPONEJA, na
jina lake lingine la nyumbani ni MASISA, hilo MASISA lilikuwa jina la
babu yake, na kutoka katika hilo ndio akaamua kulifupisha kuwa SISA na
ndilo anatumia katika muziki lakini katika matumizi ya Muziki litakuwa
likiandikwa C-SIR.Katika wimbo wake wa kwanza ambao umeshaanza kupata
mafanikio makubwa tunajiandaa kukamilisha album yake ya kwanza ambayo
bado tunaendelea kuirekodi. Video ya wimbo huu imekwishafanyika chini
ya ADAM JUMA wa NEXT LEVEL ambayo mpaka sasa imepokelewa
vyema.Tunakurukuru sana mdau kwa kupokea kazi zetu...
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments