Mwanamuziki Danniel
Kamili “dani wa msimamo yuko katika hatua za mwisho ili kukamilisha
video ya wimbo wake Sipapasi.wimbo ambao mpaka sasa unazidi kufanya
vizuri katika vituo mbalimbali vya radio nchini.”nipo katika harakati
za kuendeleza harakati ili kupata mafanikio katika muziki huu wa kizazi
kipya wanyonyaji wachache wanafaidika kwa kazi zetu..zaii ya hapo
alisistiza video ya wimbo huo kuwa itakuwa na ubora wa aina yake ,wadau
wakae mkao wa kula kuipokea ,ngoma hiyo ambayo ina ubora wa kimataifa.…Inatoka Pro24.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments