Skip to main content

SIHITAJI KUJIHUSISHA NA MAKUNDI NDANI YA BONGO MOVIE – ROSE NDAUKA…!!





MREMBO ndani ya bongo movie Rose Ndauka, amesema kuwa mwaka huu haitaji kujihusisha na makundi ya wasanii kwani ndiyo yanayokuwa chanzo cha matatizo katika tasnia hiyo.

Awali msanii huyo alikuwa na urafiki wa karibu na Wema Sepetu, Jackline Wolper na Jack wa Chuz, lakini kutokana na matatizo fulani urafiki wao umekuwa wakusuasua.

Ndauka alisema kuwa mwaka uliopita makundi hayo ndiyo yaliyomponza na kujikuta katika matatizo kwani baadhi ya wasanii hawapendi mtu afanye kitu kizuri.



Rose akiwa katika pose

Hata hivyo alisema kitu kingine kuwa makundi hayo yamekuwa na tabia ya kuchukuliana wanaume huku wakitangaza maneno mabaya kwenye vyombo vya habari.

“Mimi sihitaji kujihesisha na makundi ambayo hayana faida kwangu kwani baadhi ya wasanii ambao utakuwa nao karibu wanakuwa wa kwanza kukuchukulia wanaume na mwisho wa siku wanajisifia kuwa yule hana lolote kwanza hata mpenzi wake tumemchukua,” alisema.

Aliongeza kama kuna msanii anahitaji kuwa naye kwa sasa basi lazima amchunguze tabia zake ili yasije yakamkuta kama ya mwaka jana.Chanzo ni DARTALK.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.