Mwenyekiti wa chama cha
waandishi wa mswaada Maisala akiwa amepumzika katika hospital ya amana
Dar-es-salaam baada ya kufanyiwa upasuaji wa kidole cha tumbo
kilichokuwa kikimsumbua hafla .Rais wa shirikisho la filamu Tanzania
Saimoni Mwakifamba akiwa na wajumbe wa bodi wa shirikisho hilo Deo
Songa na Ally Baucha walipomtembelea kumjulia hali yake katika hospital
ya Amana iliyopo Wilayani Ilala Jijini Dar-es-salaam.. Kwa hisani ya Pro 24.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments