Skip to main content

TIGO YAWAMWAGIA WASHINDI LAPTOP 48, SH MIL 96


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Tigo, Alice Maro (kushoto) akimkabidhi zawadi ya kompyuta ndogo (Laptop), Joyce Mkonyi ambaye amekuwa mmoja wa washindi 48 waliopata kifaa hicho baada ya kushinda promosheni ya "Zamu Yako Kushinda", Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Bidhaa wa Tigo, Pamela Selukindo. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
Mwanate Abdalah wa Mbagala, Dar es Salaam, akikabidhiwa Laptop
Mzee Sylvester Mwagala akipata zawadi yake ya Laptop
Alice Maro wa Tigo (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 4, mteja Grace Munuo
Jackson Ezekiel (kulia0 akipokea hundi ya sh. mil 4




Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari

Tigo yawazawadia washindi wa promosheni ya “ZAMU YAKO KUSHINDA”

24 Januari, 2012, Dar es Salaam. Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo imewazawadia washindi ishirini na nne, kila mmoja shilingi milioni nne, (Tsh. 4,000,000/-) kama washindi wa kwanza wa kila siku ambao wamepatikana katika promosheni inayoendelea ya “Zamu yako Kushinda.” Halikadhalika washindi wengine arobaini na nane wamezawadiwa kompyuta aina ya laptop za Samsung. Washindi wamepatikana katika kipindi cha siku 24, na jumla ya fedha zilizotumika kulipa washindi mpaka leo ni Shilingi za Kitanzania milioni 204.

“Tumeridhishwa na namna ambavyo promosheni inaendelea,” alisema Alice Maro, Meneja Mahusiano wa Tigo. “Bado tunazawadi nyingi za kugawa, kwa hiyo tunapenda kuendelea kuwasihi wateja wetu kushiriki,” alisema.

Baadhi ya washindi wa Tsh. 4,000,000/- ni Juliana Deus (Tabata); Esther Elia (Mbezi Beach); Andrew Mwemezi (Mbeya); Petronila Mtatiro (Ukonga) na Julius Yohana Mlacha (Ubungo).

Baadhi ya washindi wa laptop ni Dini Kaikai (Ilala); Benjamin Jumbe (Dodoma); Mwanate Abdallah (Mbagala); Hezron Chacha Kehongo (Mbezi Beach) na Omar Msuya (Buguruni); George Kessy (Ngara,Kagera).

Washindi wengine wametoka sehemu mbalimbali nchini kama Bukoba, Mwanza, Morogoro, Dodoma, Mtwara, Lindi, Tanga, Moshi, Arusha, Rukwa, Singida and Pwani.

Ili kushiriki mtumiaji wa Tigo anatakiwa kutuma neno “TIGO” kwenda 15571. Gharama kwa kila ujumbe ni Tsh 450. Washiriki wanatakiwa kujikusanyia pointi nyingi ili kujiwekea mazingira mazuri ya kujishindia zawadi. Washiriki pia watazawadiwa zawadi za kutuma ujumbe wa bure kutoka Tigo kwenda mitandao yote Tanzania.

Watumiaji wa mtandao wa Tigo wenye umri chini ya miaka 18, hawaruhusiwi kushiriki. Promosheni hii ni kwa ajili watumiaji wa Tigo watanzania.

Kuhusu Tigo:

Tigo ni mtandao wa simu za mkononi ya kwanza Tanzania, ilianza biashara mwaka 1994 na ni mtandao wa simu Tanzania wenye ubunifu ya hali ya juu na bei nafuu kupita zote nchini. Tigo ni sehemu ya MillicomInternational Cellular S.A (MIC) na hutoa huduma za simu za mkononikwa gharama nafuu na inayopatikana maeneo mengikiurahisi kwa wateja zaidi ya milioni 30 katika masoko 13 yanaoibukaAfrika na Amerika ya Kusini.

Msingi wa mafanikio ya Tigo ni uzingatiaji wa mikakati mitatu ambao,ni Gharama nafuu, Uwepo na Upatikanaji .Tunajenga dunia ambapo huduma za simu ni za bei nafuu, zipo na zinapatikana kila mahali na kwa wote. Hii inahakikisha kwamba wateja wetu wanapata huduma bora zaidi kwa bei nafuu kuliko zote katika mikoa yetu 26, Tanzania Bara na Zanzibar.

Kwa taarifa zaidi tembelea: www.tigo.co.tz

Imetolewa na:
Alice Maro • PR-Tigo • Simu 255 715 554501

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...