Skip to main content

TIMU YA TAIFA YA NGUMI YAENDELEA NA MAZOEZI


Kocha wa timu ya taifa ya mchezo wa ngumi, Edward Lyakwipa (kushoto) akimwelekeza bondia, Mohamed Abdul jinsi ya kuikwepa ngumi huku ukiwa kwenye gadi wakati wa mazaoezi ya kambi hiyo iliyopo uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es salaam.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspopt.com)
Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa ya Masumbwi wakifanya Mazoezi ya pamoja katika kambi yao iliyopo Uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam leo.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Comments