Skip to main content

SMZ YAOMBWA KUSAIDIA ASASI ZA KIRAIA KATIKA KUTOA ELIMU MCHAKATO WA KATIBA MPYA


Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kutoa msaada wa hali na mali kwa ajili ya kuziwezesha Asasi za kiraia zitazotoa elimu ya uraia kuhusu katiba na kuhamasisha jamii kujitokeza katika mchakato wa zoezi zima la upatikanaji wa katiba mpya.
Wito huo umetolewa leo na Mjumbe wa Baraza la Katiba Zanzibar ambaye pia ni Mwanasheria wa kujitegemea Awadh Ali Said huko katika ukumbi wa Zanlink Majestic alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na maoni ya Baraza hilo juu ya Sheria ya mabadiliko ya katiba No. 8 ya mwaka 2011
Amesema kama Serikali itakuwa tayari juu ya jambo hilo Asasi hizo zitatekeleza jukumu la kuwahamasisha wananchi ili waweze kufanya maammuzi sahihi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya.
Mwanasheria huyo amesema jamii inapaswa ishirikishwe kwa upana wake katika mchakato wa Katiba ili ukubalike na kuridhiwa na wananchi jambo litakalowapelekea wasijione wametengwa katika maandalizi ya mchakato huo
Amesema ni muhimu pia kuwepo kwa mjadala wa kitaifa juu ya sheria hiyo ili kujenga mwafaka wa kitaifa katika jambo lililo muhimu katika uhai wa taifa.
Kuhusu muundo wa tume Awadh alisema uteuzi wa Wajumbe wa Tume hiyo ni vyema wajumbe wake wapate ridhaa ya Baraza la Wawakilishi au Bunge la Jamhuri ya Muungano vyombo ambavyo ni viwakilishi halali vya wananchi na hivyo kuondoa hofu kuwa tume hiyo imetawaliwa na kiongozi fulani
Aidha amependekeza wajumbe wa tume waendelee kubaki katika Bunge maalum hata baada ya Mwenyekiti wake kuwasilisha Rasimu ya Katiba katika Bunge hilo ili waweze kutimiza wajibu wa kutoa ufafanuzi pale itakapostahiki.
Akielezea kuhusu kipengele cha Muungano Mwanasheria huyo alieleza kuwa kifungu cha 9(2) cha hadidu za rejea hakiweki wazi majadala wa Muungano na hivyo kupendekeza kuwepo uwazi juu ya mjadala wa Muungano
Aidha Mwanasheria huyo alipendekeza Bunge Maalum la Katiba kutokuwa na utashi wa kisiasa wa kivyama na badala yake wajumbe wa baraza hilo wajali maslahi ya taifa na siyo itikadi za vyama vyao katika kupata katiba mpya.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.