Skip to main content

SMZ YAOMBWA KUSAIDIA ASASI ZA KIRAIA KATIKA KUTOA ELIMU MCHAKATO WA KATIBA MPYA


Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kutoa msaada wa hali na mali kwa ajili ya kuziwezesha Asasi za kiraia zitazotoa elimu ya uraia kuhusu katiba na kuhamasisha jamii kujitokeza katika mchakato wa zoezi zima la upatikanaji wa katiba mpya.
Wito huo umetolewa leo na Mjumbe wa Baraza la Katiba Zanzibar ambaye pia ni Mwanasheria wa kujitegemea Awadh Ali Said huko katika ukumbi wa Zanlink Majestic alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na maoni ya Baraza hilo juu ya Sheria ya mabadiliko ya katiba No. 8 ya mwaka 2011
Amesema kama Serikali itakuwa tayari juu ya jambo hilo Asasi hizo zitatekeleza jukumu la kuwahamasisha wananchi ili waweze kufanya maammuzi sahihi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya.
Mwanasheria huyo amesema jamii inapaswa ishirikishwe kwa upana wake katika mchakato wa Katiba ili ukubalike na kuridhiwa na wananchi jambo litakalowapelekea wasijione wametengwa katika maandalizi ya mchakato huo
Amesema ni muhimu pia kuwepo kwa mjadala wa kitaifa juu ya sheria hiyo ili kujenga mwafaka wa kitaifa katika jambo lililo muhimu katika uhai wa taifa.
Kuhusu muundo wa tume Awadh alisema uteuzi wa Wajumbe wa Tume hiyo ni vyema wajumbe wake wapate ridhaa ya Baraza la Wawakilishi au Bunge la Jamhuri ya Muungano vyombo ambavyo ni viwakilishi halali vya wananchi na hivyo kuondoa hofu kuwa tume hiyo imetawaliwa na kiongozi fulani
Aidha amependekeza wajumbe wa tume waendelee kubaki katika Bunge maalum hata baada ya Mwenyekiti wake kuwasilisha Rasimu ya Katiba katika Bunge hilo ili waweze kutimiza wajibu wa kutoa ufafanuzi pale itakapostahiki.
Akielezea kuhusu kipengele cha Muungano Mwanasheria huyo alieleza kuwa kifungu cha 9(2) cha hadidu za rejea hakiweki wazi majadala wa Muungano na hivyo kupendekeza kuwepo uwazi juu ya mjadala wa Muungano
Aidha Mwanasheria huyo alipendekeza Bunge Maalum la Katiba kutokuwa na utashi wa kisiasa wa kivyama na badala yake wajumbe wa baraza hilo wajali maslahi ya taifa na siyo itikadi za vyama vyao katika kupata katiba mpya.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...